• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MSIMAMIZI WA UCHAGUZI, HALMASHAURI YA MERU, ATANGAZA RASMI MAJINA YA MIPAKA KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

Imewekwa: September 13th, 2019

Msimamizi wa Uchaguzi  Halmashauri Wilaya ya Meru, Ndg.Jonathan Kiama, ametangaza rasmi, majina ya Mipaka ya vijiji vilivyoko katika eneo la halmashauri ya Wilaya ya Meru ambavyo vitahusika katika uchaguzi wa viongozi wa Serikali za mitaa.

Akitangaza Mipaka hiyo, Kiama amesema kuwa, "Kwa Mamlaka niliyopewa chini ya Kanuni ya 5 ya Kanuni ya Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Mji Mdogo Tangazo la Serikali namba 371 la tarehe 26.04.2019 pamoja na Kanuni za Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji, Wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka za Wilaya, Tangazo la Serikali namba 373 la tarehe 26.04.2019 na kwa kuzingatia Orodha ya Vijiji na Vitongoji vilivyotangazwa katika Gazeti la Serikali Na 537 la tarehe 19/07/2019.

Msimamizi huyo wa Uchaguzi ametangaza majina ya mipaka halmashauri ya Meru kuwa jumla ya Vijiji 90 na Vitongoji330.

Tangazo hilo ni mchakato kuelekea Uchaguzi wa Serikali za mitaa, unaotegemea kufanyika tarehe 24.11.2019.






Matangazo ya Kawaida

  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2020 HALMASHAURI YA WILAYA YA MERU December 06, 2019
  • USHAURI WA KITAALAM JUU YA KUDHIBITI UHARIBIFU WA MITI UNAOSABABISHWA NA MDUDU(MCHWA) July 05, 2019
  • MATUNDA YA ELIMU BURE HALMASHAURI YA WILAYA YA MERU. September 20, 2019
  • Jamii yatakiwa kukamilisha miundombinu inayohitajika ili shule za sekondari zisajiliwe. October 05, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • WENYEVITI WA VIJIJI, WENYEVITI WA VITONGOJI NA WAJUMBE WA SERIKALI ZA VIJIJI WALA KIAPO

    November 28, 2019
  • Jamii yatakiwa kuzingatia elimu ya afya ili kudhibiti magonjwa yasiyoambukiza .

    November 14, 2019
  • Uongozi na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meu wanawatakia kila la kheri wanafunzi wa kidato cha Pili.

    November 13, 2019
  • Zoezi la kuchukua na kurejesha fomu za ugombea lakamilika vizuri katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru.

    November 04, 2019
  • Tazama Vyote

Video

Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 027 297-482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa