• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika

Sekta ya kilimo ndiyo inayotegemewa kwa kiasi kikubwa na wakazi wa Halmashauri ya Meru, kwani zaidi ya asilimia 75 ya wakazi wa eneo hili wanategemea kilimo kwa ajili ya kuendesha maisha yao ya kila siku.

Halmashauri ya Meru ina Eneo lenye ukubwa wa jumla ya hekta 126,820, kati ya eneo hilo, linalofaa kwa kilimo ni hekta 81,400 ambapo eneo linalolimwa kwa sasa ni hekta 67,931 sawa na asilimia 84 ya eneo lote la kilimo. Vilevile eneo linalofaa kwa umwagiliaji ni hekta 18,745 na linalomwagiliwa kwa sasa ni hekta 12,810. Mkakati uliopo ni kuendelea kufanya ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya umwagiliaji kadiri bajeti itakavyoruhusu kwa lengo la kuendeleza kilimo cha umwagiliaji. Mazao yanayostawi ni pamoja na; Mahindi, Mpunga, Migomba, Kahawa, Maharage, Maua, Mbogamboga, Matunda, viazi, mihogo, nk.

VYANZO VYA  MAJI YA UMWAGILIAJI

Halmashauri ya Meru ina mito 11 na chemchemi 143 ambazo ni vyanzo vya maji ya umwagiliaji na matumizi ya nyumbani. Kupitia baadhi ya vyanzo hivi, Halmashauri imejenga na kuendeleza jumla ya skimu 38 za umwagiliaji ambazo zinatumiwa na wakulima wadogowadogo. Skimu hizi zina hadhi tofauti kiubora. Kila mwaka Halmashauri hutenga fedha kwa ajili ya ukarabati wa skimu hizo kwa lengo la kudhibiti upotevu wa maji na kuongeza tija katika uzalishaji wa mazao ya kilimo.

Kanda za Kilimo

  • Ukanda wa juu

Ukanda huu hupata mvua nyingi za wastani wa milimita 1000 kwa mwaka. Ukanda huu una misitu na vyanzo vya maji yanayotumika katika ukanda wa kati na chini. Mazao yanayostawi ni Kahawa, ndizi, Mahindi, Maharage, Viazi mviringo, Mbogamboga na Matunda.

  • Ukanda wa kati

Ukanda wa kati hupata mvua za wastani wa milimita 500 kwa mwaka. Ukanda huu una misitu ya mtawanyiko na vyanzo vichache vya maji. Mazao yanayostawi katika ukanda wa kati ni Kahawa, Migomba, Mahindi, Mpunga, Maua, Mbaazi, Mihogo, Viazi vitamu, Maharage, Mbogamboga na Matunda.

  • Ukanda wa chini

Hupata mvua za wastani wa milimita 300 kwa mwaka; Kilimo cha umwagiliaji hufanyika kwa kiasi kikubwa katika ukanda huu kwa kutumia maji yanayotoka kanda za juu. Mazao yanayostawi katika ukanda huu ni Mpunga, Mahindi, Maharagwe, Migomba, Mihogo, Mtama, Mbaazi, Viazi vitamu, Matunda na Mbogamboga.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa