• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Vijana

IDARA YA MAENDELEO YA JAMII NA USHIRIKI WAKE KATIKA KUWALETEA WANANCHI MAENDELEO YA KIUCHUMI.

Sekta hii inasaidia kuibua shughuli za miradi ya maendeleo ngazi ya kata na vijiji na pia inaratibu uanzishwaji na usimamizi wa miradi ya vikundi vya vijana na wanawake.Sekta ya maendeleo ya jamii inahakiki na kumtaarifu msajili wa asasi za kiraia (NGOs) zinazotoa huduma kwa makundi ya wazee, walemavu,yatima pamoja na wajane pendekezo la kukubalika kusajiliwa.

Vikundi vya Wajasiriamali (Wanawake na Vijana).

Halmashauri kupitia watumishi wa idara ya maendeleo ya jamii kama maelezo awali yanavyosema kusaidia vijana na wanawake kuanzisha miradi, idara imeweza kuviandikia vikundi vya vijana 17 vyenye jumla ya vijana 340 maandiko ya kuomba fedha za mitaji.Ni Halmashauri ya kwanza nchi nzima kupata kiwango kikubwa cha fedha hii inatokana na umadhubuti wa maandiko yaliyoandikwa na watumishi wa idara.

Maandiko hayo yalitumwa ofisi ya Waziri Mkuu,Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na Walemavu na Halmashauri ikafanikiwa kupewa fedha za mitaji kwa vikundi kumi na saba,thamani ya fedha zilizotolewa ni shilingi 66,200,000.00.Fedha hizi zinatakiwa kupewa vijana wanaosimamiwa na SACCOS ya vijana Meru chini ya ofisi ya uratibu wa kitengo cha Ushirika na Idara ya Mendeleo ya Jamii kama jedwali chini linavyoonyesha.

Kwa sasa Halmashauri ya Meru ina jumla ya vikundi vya vijana na wanawake wajasiriamali vipatavyo 595 kati ya vikundi hivyo,vikundi vya wanawake ni 384 na vya vijana ni 211.Katika mwaka wa fedha 2016/2017 jumla ya shilingi milioni mia moja ishirini na tisa (129,000,000.00) zimetolewa kwa vikundi 19 vya wanawake na vikundi 21 vya vijana ambao shughuli wanazofanya ni kilimo,ufugaji na biashara. Jedwali zifuatazo zinaonyesha vikundi na mitaji waliyopewa toka Halmashauri ya Wialya ya Meru na vikundi vilivyopewa toka ofisi ya Waziri Mkuu,Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na Walemavu

A:ORODHA YA VIKUNDI VYA VIJANA NA WANAWAKE AMBAVYO HALMASHAUI IMEVIPA MIKOPO YENYE MASHARTI NAFUU KWA MWAKA2016/2017.

 

NA
JINA LA KIKUNDI
KATA WALIPO
KIASI CHA MKOPO WALICHOPEWA

1

Kikundi cha Olisigi
Shambarai Burka

2,000,000

2

Kikundi cha umoja wawanawake Shambarai burka
Shambarai Burka

1,000,000

3

Kikundi cha Nurulanga
Shambarai Burka

3,000,000

4

Kikundi cha Memandoki
Nkoanrua

2,500,000

5

Kikundi cha ZindukaUlong’a
Nkoanrua

2,000,000

6

Kikundi cha Ashe-Ngai
King’ori

2,500,000

7

Kikundi cha IkyiraNkoansiyo
King’ori

2,500,000

8

Kikundi cha Agape
Maroroni

2,000,000

9

Kikundi cha Tujogee
Majengo

3,000,000

10

Kikundi cha Ambureni
Ambureni

2,000,000

11

Kikundi cha Wekezasungura
Akheri

3,000,000

12

Kikundi cha WanawakeMlimani
Leguruki

2,000,000

13

Kikundi cha Kikwe Community Development
Kikwe

3,000,000

14

Kikundi cha Wanawake Rory
Imbaseni

2,000,000

15

Kikundi cha Migandini Muungano
Maroroni

2,000,000

16

Kikundi cha WamamaImara
Akheri

2,500,000

17

Kikundi cha Kolila VICOBA
Malula

3,000,000

18

Kikundi cha Horticulture
Makiba

3,000,000

 

19
Kikundi cha Kesia
Nkoaranga

4,000,000

20
Kikundi cha Wanawake Momela
Ngarenanyuki

3,000,000

21
Kikundi cha S.Y.G
Ngarenanyuki

3,000,000

22
Kikundi cha Ailanga Family
Ngarenanyuki

3,000,000

23
Kikundi cha Wekezamomela
Ngarenanyuki

3,000,000

24
Kikundi cha Kireeni Wenyeji
Ngarenanyuki

2,000,000

25
Kikundi cha Sifuni
Maroroni

3,000,000



JUMLA NDOGO

64,000,000

 

1
Kikundi cha Manyaki Upendo
King’ori

1,500,000

2
Kikundi cha Nammanya
Leguruki

1,500,000

3
Kikundi cha Ikusura Village Care
Akheri

2,000,000

4
Kikundi cha Songambele Ngarenanyuki
Ngarenanyuki

2,000,000

5
Kikundi cha wanawake Peace
Songoro

1,500,000

6
Kikundi cha Mount Meru Arts
Usariver

1,000,000

7
Kikundi cha Uwangabo
Ngabobo

1,500,000

8
Kikundi cha Wanawake Mbembe Development
Songoro

1,500,000

9
Kikundi cha Wanawake Kyando
Akheri

1,500,000

10
Kikundi cha Wanawake OUHAKATU
Ambureni

1,500,000

11
Kikundi cha WanawakeSamia
Ambureni

1,500,000

12
Kikundi cha LoruvaniUpendo
Ambureni

1,500,000

13
Kikundi cha Wanawake Yeyowasha
Malula

2,000,000

14
Kikundi cha Wanawake Umoja Mowara
Maruvango

1,500,000

15
Kikundi cha Ruwanaichi
Usa river

2,000,000

16
Kikundi cha Majengo
Majengo

2,000,000

17
Kikundi cha Wawasa
Maroroni

1,500,000

18
Kikundi cha vijana Samaria
Maroroni

1,500,000

19
Kikundi cha MshikamanoMajengo
Majengo

1,500,000

20
Kikundi cha Kufise
King’ori

1,500,000

21
Kikundi cha Osukuroi
Ngarenanyuki

1,500,000

22
Kikundi cha Kirishiony
Leguruki

1,500,000

23
Kikundi cha Inawanko
Leguruki

1,500,000

24
Kikundi cha Ikunda KambiyaTanga Juu VICOBA
Shambarai burka

2,000,000

25
Kikundi cha Mashora Burdani
Seelasing’isi

1,500,000

26
Kikundi cha Waebrania
Nkoaranga

1,500,000

27
Kikundi cha Nkoasakiri B
Nkoaranga

1,500,000

28
Kikundi cha Wanawake Patimo
Malula

2,000,000

29
Kikundi cha Wanawake Kaveshe
Maruvango

1,500,000





31
Kikundi cha Vijana Eng’warata
Maroroni

3,500,000

32
Kikundi cha wanawake Esiliti
Ngabobo

1,500,000

33
Kikundi cha Karikenyi Maendeleo
Shambarai burka

2,000,000

34
Kikundi cha Msheku
Ngabobo

2,000,000

35
Kikundi cha Wanawake Kwimboy
Ngarenanyuki

2,500,000

36

Kikundi cha Zavam
Ngarenanyuki

3,000,000

37
Kikundi cha mawasiliano
Usa river

1,500,000

38
Kikundi cha Wanawake Akengupa
Akheri

1,500,000

39
Kikundi cha upendo Mapambano
Shambarai Burka

1,500,000

40

Kikundi cha Umoja
Shambarai Burka

1,500,000



JUMLA NDOGO

65,000,000.00



JUMLA KUU

129,000,000.00

 

B:ORODHA YA VIKUNDI VYA VIJANA VILIVYOKOPESHWA FEDHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU,SERA,BUNGE,KAZI,VIJANA,AJIRA NA WALEMAVU 2016/2017.

NA
JINA LA KIKUNDI
AINA YA MRADI
FEDHA WALIZOKOPESHWA
1
Meru Umoja wa Viziwi Tanzania
Ufugaji wa kuku
6,000,000
2
Kati Group
Ufugaji wa kuku na bata
4,000,000
3
Ilashi Development
Ufugaji wa kuku
3,000,000
4
Brilliant Friends Decoration Group
Upambaji na Uokaji Keki
4,000,000
5
Kyareto Development Group
Kilimo cha mbogamboga
3,000,000
6
Alpha and Omega Business Group
Ufugaji na Kilimo
4,000,000
7
Kikwe Community Davelopment Group
Kilimo cha mbogamboga
5,000,000
8
Jiboreshe Youth Group
Ufugaji na Kilimo
3,200,000
9
Seuri Group
Ukodishaji Vyombo
3,000,000
10
Samari Youth Group
Ufugaji ng’ombe wa maziwa
4,000,000
11
Inuka Group
Ufugaji kuku
4,000,000
12
Meru Nambala
Ufugaji ng’ombe wa maziwa
4,000,000
13
Umanjilweruwa
Ukodishaji viti na Upambambaji
4,000,000
14
Tikabane Group
Kusindika mihogo
4,000,000
15
Waria Youth Group
Ufugaji Nguruwe
4,000,000
16
Elishadai Group
Ufugaji Kuku
3,000,000
17
Mwangaza Karangai Silk Group
Ufugaji Kuku
4,000,000


JUMLA
66,200,000

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa