• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

KIKOSI 833 WATAKA MAFUNZO YAONGEZWE MUDA KWA MIEZI 6

Imewekwa: September 11th, 2023

Vijana waliohitimu kozi kwa mujibu wa Sheria Operesheni miaka 60 ya Jeshi la kujenga Taifa 2023 Kikosi 833 wametoa mapendekezo ya kuongezewa muda wa miezi 6 ya mafunzo hayo.

Mapendekezo hayo yametolewa Leo kwa Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Emmanuela Mtatifikolo Kaganda wakati wa ufungaji wa mafunzo hayo yaliyofanyika katika kambi ya Oljoro Wilayani Arumeru.

"Service Girl" Anna T. Minja kutoka Kilimanjaro ameeleza kuwa mbali na kujifunza masuala ya ukakamavu kwa kipindi cha miezi mitatu wameweza kujifunza kilimo na ujasiriamali ili iweze kuwasaidia watakapokuwa uraiani.

"Tumejifunza kulima bustani za mbogamboga kama mchicha, karoti na nyanya, lakini pia tumejifunza kutengeneza sabuni za maji, hii itatusaidia hata kwenda kujiariji." amesema service girl Anna.

Ameongeza kwa kusema kuwa wamejifunza namna ya kujikinga na adui,kulitumikia Taifa, kuwa na utii kwa wakubwa na wadogo lakini wamejifunza kuwa wazalendo. Zaidi amesema jeshi ni zuri linawajenga kiafya na kiakili.

Aidha, "Service man" Eliudi L. Lengidale kutoka Arusha ameeleza kuwa mafunzo kwa Mujibu wa Sheria yamewafanya kuwa wakakamavu na kuweza kufanya shughuli zozote za kijamii.

"Mafunzo haya yametusaidia kutujenga na kuweza kutatua changamoto zozote za maisha,lakini yametufanya kujitambua na kuepuka kujiingiza kwenye makundi ya vijana wasio na maadili" Amesema service man Eliudi.

Salama Abubakari ni Mzazi wa Haruna Abubakari ambaye naye amehitimu mafunzo kikosi 833, ameeleza kuwa ameshuhudia mabadiliko makubwa kwa kijana wake kabla ya kupata mafunzo na baada ya mafunzo.

"Kijana wangu amekuwa mkakamavu na nidhamu ya hali ya juu, nalishukuru jeshi la kijenga Taifa na Serikali kwa ajili ya watoto wetu, pia niwatoe wasiwasi wazazi wengine wasiogope kuwaleta watoto wao kujiunga na jeshi kabla ya kwenda vyuoni" amesema mzazi huyo.

Hata hivyo, Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Kaganda ambaye pia ni mgeni rasmi katika hafla hiyo, ametoa rai kwa vijana waliohitimu mafunzo hayo kuwa mafunzo waliyoyapata wakayatumie katika kuilinda na kuitetea nchi ya yetu ya Tanzania ikiwa ni pamoja na kufuata Sheria zilizoweka na Nchi.





Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa