• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MKUTANO MKUU WA CHAMA CHA USHIRIKA WA AKIBA NA MIKOPO SHIWARA SACCOS LTD.

Imewekwa: October 28th, 2024

SHIWARA SACCOS LTD Wamefanya mkutano Mkuu ambao umeambatana na Uzinduzi wa Jengo la Ofisi ya Chama hicho huku Mgeni Rasmi akiwa Ni Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Arusha Robert George.

Mrajis amekipongeza Chama cha Ushirika cha SHIWARA Kwa kazi nzuri wanayoifanya na hata kufikia Kujenga Ofisi kubwa itakayowasaidia kuendesha shughuli zao za kimaendeleo na kuwataka waendelee kuwa na Umoja mshikamano Kwa manufaa mapana ya SACCOS Yao. Pia ametoa Elimu kuhusu saccos na kuonesha umuhimu wa wanachama hao kuwa kwenye SACCOS.

Aidha Mwenyekiti aliyemaliza Muda wake kwenye Chama hicho Asoraeli Nanyaro amewahasa wanachama kuendelea kutoa ushirikiano kwa Viongozi watakaopatikana kama ushirikiano walio uonyesha kwake na hata kufikia mafanikio ya kuwa Chama Bora cha Ushirika cha huduma kwa jamii kwa mwaka 2023 katika maonyesho ya siku ya Ushikia wa Akiba na Mikopo (ICUD) yaliyofanyika jijini Mwanza na kushinda Nafasi hiyo.

Wananchi Mbalimbali wameonyesha kupendezwa na Mpango huu wa Vyama vya Ushirika Kwa manufaa mbalimbali wanapokutana nayo ikiwemo Upatikanaji wa Mikopo yenye Riba nafuu.

Chama cha Ushirika SHIWARA SACCOS LTD kimetimiza Miaka 22 Tangu kuanzishwa kwake kikiwa na wanachama 841 mpaka sasa huku kikiinua Wananchi wa Kata ya Songoro kwenye Mikopo ya Elimu, Biashara, Kilimo na Uchumi wa mtu mmoja mmoja.

fungua hapa kupata video,☝️

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa