• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

RC MAKONDA ATOA MSIMAMO WAKE KATIKA UTENDAJI KAZI MKOA WA ARUSHA.

Imewekwa: April 8th, 2024


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul C. Makonda ametoa muelekeo wa kufanya kazi katika Mkoa wa Arusha na kueleza kuwa atafanya kazi kwa kusimamia haki na kuhakikisha hakuna mwananchi anazurumiwa haki yake katika Mkoa huo.

Mhe. Makonda ameeleza hayo leo katika hafla ya  makabidhiano yaliyofanyika kati yake na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo Ndg. John V.K Mongella ambaye kwa sasa ni Naibu Katibu Mkuu CCM Taifa Bara katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha.

Mkuu huyo wa Mkoa amewataka viongozi wote na watendaji kuhakikisha wanawajibika kwa nafasi zao ili kufikia malengo yaliyokusudiwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Mhe. Makonda pia, amesisitiza maelekezo aliyopokea kutoka kwa Mhe.Rais Dkt. Samia kuhusu suala la kuimarisha Utalii katika Mkoa wa Arusha, pia ameeleza kuwa Serikali ya Dkt. Samia imeridhia mpango wa kujenga kumbi kubwa za mikutano ambayo inauwezo wa kubeba watu elfu5 na watu elfu 10.

Hata hivyo, ametoa maelekezo kwa Ofisi ya Uhamiaji Mkoa kuhakikisha Pasipoti za kusafiria zinatolewa ndani ya siku 7 badala ya siku 14 kama ilivyokuwa awali.


Aidha , Makonda amesisitiza suala la ulinzi na usalama katika mkoa wa Arusha kwa raia na mali zao ili kuufanya Mkoa wa Arusha kuendelea kuwa kivutio kwa watalii wa ndani na nje. 

"Nakata Mkoa wa Arusha ifike mahali ikitokea mtu amedondosha simu yake mahali watu waiokote na kumpelekea pale alipo" amesema Makonda. 

Vilevile ametoa maelekezo kwa wanaohusika na kugonga mhuri mpakani Namanga kuhakikisha zoezi hilo halichukui zaidi ya dakika 60 kwani kuchelewesha huduma hiyo ni kuchelewesha kukuza uchumi wa Mkoa wa Arusha. 


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa