• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

TEMDO WATOA ELIMU YA MATUMIZI YA KICHOMEA TAKA HOSPITALI YA MERU.

Imewekwa: July 4th, 2024

fungua hapa kupata video,☝️Wataalam kutoka Shirika la kiserikali na Taasisi ya Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania TEMDO wametoa mafunzo ya Matumizi ya Kichomea taka cha kisasa katika Hospitali ya Wilaya ya Meru.

Juma Mzava ni mtaalamu kutoka TEMDO (Tanzania Engineering and Manufacturing Design Organization) ametoa mafunzo ya vitendo ya uendeshaji mtambo na namna unavyotakiwa kufanya kazi ikiwa ni pamoja na kuwasha mtambo, kuweka taka pamoja na hatua nyingine zinazotakiwa kufuatwa.

Pia, ameeleza kuwa mtambo huo ni wa kisasa zaidi na hauna madhara kwa wananchi kwani umezingatia utunzaji wa mazingira na haitoi moshi unaoweza kuleta madhara kwa jamii.

Mtaalamu wa Afya Nicholaus Kataga  ameeleza kuwa mafunzo hayo yatawasaidia kuendesha mtambo huo bila shida na kuweza kufanya kazi kwa kiwango kikubwa zaidi kwani mtambo huo ni wa kisasa kuliko mtambo waliokuwa wakiutumia awali.

Afisa Manunuzi na Msimamizi wa Mradi wa Kichomea taka, Juma Samson ameeleza kuwa Kichomea taka hicho ni kati ya fedha sh. Milioni 900 zilizoletwa za miradi katika hospitali ya Wilaya ambapo kichomea taka hicho imetengewa sh.Milioni 46.

Bw. Samson kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mwl. Zainabu J. Makwinya ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuleta fedha za miradi hii na kuhaidi kuendelea kuisimamia ili ikamilike kwa wakati uliopangwa.


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa