• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Video

  • WANANCHI WA KATA YA SEELA/SING'ISI WAMEIPONGEZA SERIKALI KWA MRADI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI

    August 28th, 2023

    Wananchi wa Kata ya Seela/ Sing'isi wameipongeza Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuleta Fedha nyingi za ujenzi wa Mradi wa Shule mpya ya Sekondari Katika Kata hiyo.

    Wananchi hao wametoa pongezi hizo wakati wakishiriki kuchimba Msingi wa ujenzi wa Shule hiyo mpya, ambapo ujenzi huo unafanyika katika eneo la Madira na vijiji vitatu vya Seela, Malala na Sing'isi wameshiriki katika kazi na kuchimba msingi .

    Aidha, Viongozi Mbalimbali wa Serikali wameshiriki katika zoezi hilo la awali akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Emmanuela Kaganda, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Meru Mwl. Zainabu Makwinya na Diwani wa Kata ya Seela/Sing'isi Mhe. Elisa Nassari ambao wamekuwa mstari wa Mbele kuhakikisha kazi hiyo inaenda vizuri.

    Hata hivyo, Askari wa Jeshi la akiba Halmashauri ya Wilaya ya Meru nao wameshiriki katika kuchimba Msingi kama sehemu ya majukumu yao.

    Katika hatua nyingine, wananchi wamejitokeza kumpongeza na kuishukuru Serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Fedha nyingi alizozielekeza katika kata yao fedha za SEQUIP Shilingi Milioni 584,280,028.00 kwani Ukamilishwaji wa Shule hiyo unaenda kukomboa Maelfu ya wanafunzi waliokuwa wanatoka katika Kata hiyo na kwenda Kata nyingine kutafuta elimu ya Sekondari.

    Kazi Iendelee

  • DC ARUMERU AWASHUKURU WADAU WA MAENDELEO USARIVER

    August 28th, 2023
  • "MERU SIYO ENEO SALAMA KWA BODABODA WASIOFUATA UTARATIBU" DC ARUMERU

    August 28th, 2023
  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • Next →

Matangazo ya Kawaida

  • Uzinduzi na Ugawaji wa vitambulisho kwa Machinga- Halmashauri ya Meru December 28, 2018
  • MERU YARAHISISHA UPATIKANAJI WA VITAMBULISHO VYA WAJASILIAMALI April 03, 2019
  • MARUFUKU MIFUKO YA PLASTIKI. May 15, 2019
  • KILELE CHA UTOAJI MATONE YA VITAMINI A,DAWA ZA MINYOO NA UPIMAJI HALI YA LISHE June 22, 2019
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • BIMA MTAA KWA MTAA

    February 26, 2025
  • UGAWAJI WA KINGA TIBA KWA WATOTO

    February 27, 2025
  • KIKAO CHA MASHIRIKA YASIYO YAKISERIKALI MERU DC

    February 27, 2025
  • KIKAO KAZI

    March 01, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

Kiungo Kuhusiana

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa