Imewekwa: December 13th, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Amir Mohamed Mkalipa ameboresha taarifa zake kwenye Daftari la kudumu la Wapiga Kura katika Kata ya Ngabobo Kijiji cha Ngabobo kituo cha Shule ya Msingi Masai Vision.
...
Imewekwa: December 20th, 2024
Waheshimiwa Madiwani wakiwa katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi tayari kuianza safari kuelekea Halmashauri ya Tanganyika kwa lengo la kujifunza biashara ya hewa ukaa
...
Imewekwa: December 27th, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Amir Mkalipa amewataka wataalamu wa Afya kuhakikisha wanatoa elimu kwa jamii ili kuhimiza kina mama wajawazito kuanza mapema kuhudhuria Kliniki na kujua hali zao ili ...