• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

"WATUMIKIENI WANANCHI KWA WELEDI"AMESEMA DC MURO

Imewekwa: August 7th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Jerry Muro amewataka watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru kuwatumikia wananchi kwa weledi na uaminifu kwa kuzingati Sheria na kanuni za utumishi wa umma kwani Serikali ya awamu ya tano  imejikita kutoa huduma bora na zenye viwango kwa Wananchi wake, “tekelezeni majukumu yenu kwa weledi unaojikita katika sheria za utumishi ” amesema Dc. Muro.

Mkuu huyo wa Wilaya amesema hayo wakati wa kikao na watumishi wa Halmashauri hiyo cha kusikiliza changamoto na kuweka mikakati ya maendeleo kwenye Halmashauri hiyo, na kubainisha kuwa Serikali imekuwa ikitumia kiasi kikubwa cha fedha ili wananchi wake wapate huduma bora  hivyo hawana budi kutekeleza majukumu yao  “Kwenye Halmashauri hii Serikali inawalipa mishahara zaidi ya Bilioni 43 “amesema Dc. Muro.

Mhe.Jerry Muro amewakumbusha watendaji wa Kata na vijiji kutekeleza majukumu pamoja na  kusimamia mapato na fedha zinazotengwa na serikali kwa ajili ya miradi ya maendeleo pia kuhakikisha wafanya biashara kwenye maeneo yao wana leseni za biashara sambamba na kutoa mrejesho kwa wananchi juu ya utekelezaji wa shughuli  za Serikali.

Mkuu huyo wa wilaya ameweka bayana hatowavumilia  watumishi wasiotekeleza majukumu yao kwa mujibu wa sheria lengo likiwa ni kuhakikisha Arumeru inazidi kupata maendeleo kwenye kila Nyanja.

Naye MKurugenzi wa Halmshauri ya hiyo Ndg. Christopher Kazeri akiongea katika kikao hicho ameahidi kutekeleza maagizo yaliyotolewa na Mhe. Mkuu wa wilaya na kuwasimamia watumishi wa Halmashauri hiyo kutekeleza Majukumu yao.

Kwa upande wa watumishi wa Halmashauri hiyo waliopata fursa ya kuzungumza walieleza wapo tayari kutekeleza majukumu yao na kuiwakilisha vyema Serikali,

 Aidha Mkuu wa wilaya ya Arumeru mheshimiwa Jerry Muro, ameanza kazi rasmi ya kuwatumikia wana Arumeru baada ya kuapishwa tarehe 1Agusti 2018.

PICHA ZA TUKIO.


Mhe.Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru.

Baadhi ya wakuu wa idara na watumisi wa Halmashauri ya Meru wakifuatilia kwa makini maelekezo ya Mhe.Mkuu wa Wilaya ya Arumeru.


Baadhi ya wakuu wa idara na watumisi wa Halmashauri ya Meru wakifuatilia kwa makini maelekezo ya Mhe.Mkuu wa Wilaya ya Arumeru.


Baadhi ya wakuu wa idara na watumisi wa Halmashauri ya Meru wakifuatilia kwa makini maelekezo ya Mhe.Mkuu wa Wilaya ya Arumeru.



Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa