• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Video

  • ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.

    October 10th, 2023

    Wananchi wa Kata ya Mbuguni, Shambarai Burka, Majengo, Makiba na Maroroni wamepatiwa elimu ya tahadhari ya majanga ya Mvua kubwa za El Nino zinazoweza kutokea kwa mujibu wa taarifa ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini.

    Timu ya Afya moja ya kukabiliana na Majanga(One Health) kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Meru ikiongozwa na Mwakilishi wa Mratibu wa Maafa Bi. Digna Massawe (Afisa Kilimo) wamefika katika Kata ya Majengo, Mbuguni, Shambarai Burka, Makiba na Maroroni na kutoa elimu ya kukabiliana na tahadhari ya Mvua kubwa za El Nino katika maeneo yao.

    Kati ya tahadhari zilizotolewa ni pamoja na Kuepuka kutembea sehemu hatarishi kwenye mikondo ya Maji, Mabwawa au kukatiza kwenye maji yaliyofurika kwenye barabara, kuhama sehemu za mabondeni, kufukua mitaro ili kuruhusu maji kupita kwa urahisi.

    Askari wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji CPL . Beda Marwa ametoa elimu ya kukabiliana na tahadhari hizo na kuongezea kwa wenye vyombo ya moto kuendesha magari kwa mwendo wa wastani kipindi cha mvua kwani kuna kuwa na uoni hafifu unaoweza kusababisha Majanga. Pia, ameomba ushirikiano kwa kutoa taarifa kwa Jeshi la zima moto na uokoaji kwa kupiga namba 114.

    Afisa Kilimo, Bi. Digna Massawe ameeleza kuwa kipindi hichi cha mvua ni kipindi kizuri cha kuotesha mazao ya muda mfupi kama Mahindi, maharage na mazao mengine ya nafaka, mbogamboga na matunda.

    Afisa Mifugo Dkt.Charles Msigwa amesisitiza kuchanja Mifugo kwa kipindi hichi cha mvua ili kuepukana na magonjwa kama Kimeta, bacteria, Kupe, minyoo, Protozoa na magonjwa mengine. Pia, amesisitiza kuogesha Mifugo kila baada ya siku 14 na kuwapa mifugo dawa za Minyoo kila baada ya miezi mitatu.

    Afisa Afya Petro Mchelo ametoa elimu ya kukabiliana na tahadhari kwa kufunika vyoo ili mvua zinaponyesha mafuriko yasichukue uchafu na kusambaza katika maeneo na kusababisha magonjwa ya mlipuko kama kuhara, kuumwa matumbo na kipindupindu. Pia amesisitiza kunywa maji safi na salama ambayo yamechemshwa.

    Hata Hivyo, Afisa Mazingira Naima Temba ametoa elimu ya Kukabiliana na tahadhari hiyo kwa kuhifadhi taka vizuri ili kuzuia mlipuko wa magonjwa, kuzuia watu kupita kwenye kingo za mito kwa kuwa kuna mmomonyoko wa udongo lakini kuzuia watoto wasicheze kwenye madimbwi au maji yaliyotuama. Pia amesisitiza kuweka miundombinu ya kuvuna maji ya Mvua.

    Vilevile, Afisa Maliasili Consolatha Mtuy ametoa elimu ya kukabiliana na tahadhari ya kutojificha chini ya miti kwa lengo la kujikinga na mvua. Aidha, ameeleza kuwa, kama kuna miti imeonekana kuwa na hatari ya kuanguka taratibu zifuatwe kwa kuomba kibali cha kukata mti huo ili kuebuka madhara yatakayojitokeza. Pia amesisitiza zoezi la kuotesha miti kipindi cha mvua. Kwa kutazama video zaidi bofya

    https://www.youtube.com/watch?v=3pxFscArKaQ

    https://www.youtube.com/watch?v=-nFF-QMnsx8

    https://www.youtube.com/watch?v=jDJFjAKB98Q

    https://www.youtube.com/watch?v=G-owaEqbNoc

    https://www.youtube.com/watch?v=fM8IzXsZ5CI


  • MKURUGENZI MAKWINYA AFUNGUA MAFUNZO YA KUIMARISHA TIMU ZA AFYA MOJA

    September 1st, 2023
  • WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI WAELIMISHWA KUHUSU WAJIBU KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA

    September 1st, 2023
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • Next →

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa