• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

HALMASHAURI YA WILAYA YA MERU YAWATUNUKU VYETI VYA PONGEZI WAFANYAKAZI HODARI WA MWAKA WA FEDHA 2018/2019

Imewekwa: May 30th, 2019

Baraza la Halmashauri ya  Wilaya  ya Meru,Wilayani Arumeru  lawatunuku vyeti  vya pongezi watumishi hodari wapatao  30 kutoka Idara na Vitengo mbalimbali  vya Halmashauri hiyo.

Akizungumza wakati wa Mkutano wa baraza, Makamu mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Ndg.Nelson Mafie amesema Halmashauri imetambua mchango wa watumishi  hao .

Mhe.Nelson Mafie,Makamu Mwenyekiti .

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru, Ndg Emmanuel Mkongo amesema kutoa vyeti kwa watumishi hodari ni njia ya kuwahamasisha  watumishi kuongeza jitihada katika utendaji ili kuleta tija kwenye maendeleo Halmashauri hiyo.

Aidha Mkongo amewataka watumishi wa Halmashauri hiyo  kufanya kazi kwa uadilifu na kutoa huduma bora kwa wananchi.

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru, Ndg Emmanuel Mkongo

Mkutano wa baraza hilo umekamilika kwa siku ya kwanza kwa kupokea na kujadili taarifa za Kata na kuweka mikakati ya kutatua changamoto 


BAADHI YA PICHA ZA TUKIO.

Mhe.Diwani Kata ya King'ori, peter Kess akiwasilisha taarifa ya Kata

Mhe.Diwani Kata ya Kikatiti Elisa Mungure akiwasilisha taarifa ya Kata

Mhe.Diwani Kata ya Akheri ,Roman Kibanga akiwasilisha taarifa ya Kata

Mhe.Diwani Kata ya Kikwe,Paul Shango  akiwasilisha taarifa ya Kata

Mhe.Diwani Kata ya Nkoanekoli,Wilson Nanyaro akiwasilisha taarifa ya Kata

Miongoni mwa wafanyakazi hodari toka idara ya Elimu Sekondari akikabidhiwa cheti cha pongezi na makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Meru ,Mhe.Nelson Mafie

Miongoni mwa wafanyakazi hodari toka idara ya Ardhi na maliasili akikabidhiwa cheti cha pongezi na makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Meru ,Mhe.Nelson Mafie

Miongoni mwa wafanyakazi hodari toka Idara ya fedha na biasharaakikabidhiwa cheti cha pongezi na makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Meru ,Mhe.Nelson Mafie

Miongoni mwa wafanyakazi hodari toka idara ya Utawala na Rasilimaliwatu akikabidhiwa cheti cha pongezi na makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Meru ,Mhe.Nelson Mafie

Miongoni mwa wafanyakazi hodari  toka kitengo cha Manunuzi akikabidhiwa cheti cha pongezi na makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Meru ,Mhe.Nelson Mafie

Miongoni mwa wafanyakazi hodari  toka kitengo cha TEHAMA akikabidhiwa cheti cha pongezi na makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Meru ,Mhe.Nelson Mafie

Miongoni mwa wafanyakazi hodari  toka kitengo cha Nyuki akikabidhiwa cheti cha pongezi na makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Meru ,Mhe.Nelson Mafie

Miongoni mwa wafanyakazi hodari toka Idara ya utawala akikabidhiwa cheti cha pongezi na makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Meru ,Mhe.Nelson Mafie

Miongoni mwa wafanyakazi hodari  toka idara ya Afya akikabidhiwa cheti cha pongezi na makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Meru ,Mhe.Nelson Mafie

Miongoni mwa wafanyakazi hodari  toka idara ya Maendeleo ya Jamii akikabidhiwa cheti cha pongezi na makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Meru ,Mhe.Nelson Mafie

Miongoni mwa wafanyakazi hodari  toka Idara ya Afya akikabidhiwa cheti cha pongezi na makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Meru ,Mhe.Nelson Mafie

Miongoni mwa wafanyakazi hodari  toka Idara ya Elimu Sekondari akikabidhiwa cheti cha pongezi na makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Meru ,Mhe.Nelson Mafie

Miongoni mwa wafanyakazi hodari  toka Idara ya Elimu Sekondari akikabidhiwa cheti cha pongezi na makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Meru ,Mhe.Nelson Mafie

Miongoni mwa wafanyakazi hodari akikabidhiwa cheti cha pongezi na makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Meru ,Mhe.Nelson Mafie

Miongoni mwa wafanyakazi hodari akikabidhiwa cheti cha pongezi na makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Meru ,Mhe.Nelson Mafie


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa