• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

VIONGOZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MERU WATAKIWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KWA UADILIFU.

Imewekwa: May 30th, 2019

Waheshimiwa Madiwani na wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru, Wilayani Arumeru  wametakiwa kuzingatia dhana ya mgongano wa maslai katika kutekeleza wajibu wao.

 Akizungumza wakati wa Mkutano wa baraza la Halmashauri hiyo kwa siku ya kwanza, Afisa Sekretarieti ya maadili ya Viongozi wa umma, Kanda ya Kaskazini, Ndg.Musiba Magoma kupitia mafunzo ya mgongano wa maslai kwa viongozi wa umma ametoa rai kwa viongozi wa Halmashauri hiyo  kuwa waadilifu katika kutekeleza majukumu yao ili kuzitendea haki nafasi walizo nazo na kutoa huduma bora kwa wananchi kwa usawa.

Aidha Musiba amewataka viongozi hao kuepukana na maslai binafsi yenye kuathiri maslai ya umma,ikiwa ni  pamoja na kufanya maamuzi yasio na manufaa kwa umma,kutumia rasilimali za Serikali kwa matumizi binafsi,  kutumia muda wa kazi kufanya shughuli binafsi sambamba na kutumia madaraka vibaya.

 Ndg.Musiba Magoma

Mwenyekiti wa mkutano huo, ambaye pia ni Makamu mwenyekiti wa Halmashauri  Mhe.Nelson Mafie amewashukuru Maafisa toka Ofisi ya Rais Sekretarieti ya maadili ya Viongozi wa umma kwa mafunzo ya maswala ya maslai na kuwasihi waheshimiwa madiwani na wataalamu kuzingatia mafunzo hayo.

Mhe.Nelson Mafie Makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Meru,

Baadhi ya Waheshimiwa Madiwani wakifuatilia mafunzo ya Mgongano wa maslai kwa viongozi wa Umma.

Baadhi ya Waheshimiwa Madiwani wakifuatilia mafunzo ya Mgongano wa maslai kwa viongozi wa Umma.

Baadhi ya Waheshimiwa Madiwani wakifuatilia mafunzo ya Mgongano wa maslai kwa viongozi wa Umma.

Baadhi ya Waheshimiwa Madiwani wakifuatilia mafunzo ya Mgongano wa maslai kwa viongozi wa Umma.

Baadhi ya Wataalamu   wakifuatilia mafunzo ya Mgongano wa maslai kwa viongozi wa Umma.

Baadhi ya Wataalamu   wakifuatilia mafunzo ya Mgongano wa maslai kwa viongozi wa Umma.

Baadhi ya Wataalamu   wakifuatilia mafunzo ya Mgongano wa maslai kwa viongozi wa Umma.

Baadhi ya Wataalamu   wakifuatilia mafunzo ya Mgongano wa maslai kwa viongozi wa Umma.

Baadhi ya Wataalamu   wakifuatilia mafunzo ya Mgongano wa maslai kwa viongozi wa Umma.

Baadhi ya Wataalamu   wakifuatilia mafunzo ya Mgongano wa maslai kwa viongozi wa Umma.

Baadhi ya Wataalamu   wakifuatilia mafunzo ya Mgongano wa maslai kwa viongozi wa Umma.



Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa