• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

VIONGOZI WA VIJIJI HALMASHAURI YA MERU KUWAHAMASISHA WALENGWA WA TASAF KUWA NA MATUMIZI SAHIHI YA FEDHA .

Imewekwa: June 27th, 2019

Viongozi wa Vijiji  47 vilivyopo  kwenye mpango wa kunusuru Kaya maskini kupitia mfuko wa maendeleo ya jamii ( TASAF) Halmashauri ya Meru Wilayani Arumeru wametakiwa kuwatembelea na kuwahamasisha walengwa wa TASAF toka kaya maskini kuwa na matumizi sahihi ya fedha za ruzuku wanazopokea.

Wito huo umetolewa na mratibu wa TASAF Halmashauri ya Meru,Ndg.Boniface Mwilenga wakati wa mafunzo ya uwekaji akiba na utunzaji kumbukumbu kwa vikundi vya walengwa wa TASAF katika Kijiji cha Ngyeku Kata ya Kikatiti.

Mwilenga ameeleza kuwa  walengwa hao wanapaswa kutumia vyema fedha  kwani utekelezaji wa TASAF unalenga  kuwawezesha walengwa kujikwamua na kuondokana na hali duni pindi  mpango huo utakapo fikia ukomo.

Mafunzo ya uwekaji akiba na utunzaji wa kumbukumbu kwa vikundi vya walengwa wa TASAF yanayo fanyika kwa siku mbili katika kijiji cha Ngyeku na Ngurudoto yatawajengea uwezo wa kujiwekea akiba na kutunzaji kumbukumbu wanachama  wapatao 249  toka vikundi 18 wa Vijiji hivyo.

Ikumbukwe kuwa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa uwekaji akiba na utunzaji kumbukumbu kwa Wawezeshaji wa TASAF ngazi ya Wilaya na Kata yalifanyika tarehe 25,26,27 Juni 2019,Hivyo kwa sasa wawezeshaji hao wanatoa mafunzo kwa walengwa wakuu wa mafunzo hayo ambao ni vikundi vya walengwa wa TASAF katika vijiji mbalimbali .

Ndg.Hosea Mwankusye ambaye ni  Kiongozi wa  timu ya wawezeshaji  wa TASAF kitaifa akitia saini katika kitabu cha wageni Ofisi ya Mtendaji wa kijiji cha Ngyeku, akiwa ameambatana na Mratibu wa TASAF Halmashauri ya Meru na wawezeshaji wengine ngazi ya Taifa na Wilaya .

Mwenyekiti wa Kijiji cha Ngyeku Ndg.Elibariki Mungure akitoa ufafanuzi kwa wanachama wa vikundi vya walengwa wa TASAF juu ya ugeni  wa wawesheshaji wa TASAF ngazi ya  taifa na Wilaya.

Wanachama wa vikundi vya walengwa wa TASAF kijiji cha Ngyeku wakifuatilia mkutano kabla ya Mafunzo

Wanachama wa vikundi vya  walengwa wa TASAF kijiji cha Ngyeku wakifuatilia mkutano kabla ya Mafunzo.

Mratibu wa TASAF Halmashauri ya MeruNdg.Boniface Mwilenga akifafanua jambo wakati wa mafunzo katika kikundi kimojawapo cha walengwa wa TASAF kijiji cha Ngyeku.

Ndg.Hosea Mwankusye ambaye ni  Kiongozi wa  timu ya wawezeshaji  wa TASAF kitaifa akiteta jambo na mwenyekiti wa Kijiji cha Ngyeku.

Ndg.Abdallah Dokodoko ambaye mwezeshaji ngazi ya Taifa  akizungumza na wanachama wa kikundi kimojawapo cha walengwa wa TASAF Kijiji cha Ngyeku.

Mwezeshaji wa TASAF ngazi ya Wilaya Donatha Minde akitoa mafunzo kwa wanachama wa kikundi kimojawapo kijiji cha Ngyeku.

Mwezeshaji wa TASAF ngazi ya Wilaya akis mafunzo kwa wanachama wa kikundi kimojawapo kijiji cha Ngyeku.

Mwezeshaji wa TASAF ngazi ya Wilaya Sheila akitoa mafunzo kwa wanachama wa kikundi kimojawapo kijiji cha Ngyeku.

Mwezeshaji wa TASAF ngazi ya Wilaya  akitoa mafunzo kwa wanachama wa kikundi kimojawapo kijiji cha Ngyeku.

Mwezeshaji wa TASAF ngazi ya Wilaya  akitoa mafunzo kwa wanachama wa kikundi kimojawapo kijiji cha Ngyeku.

Mwezeshaji wa TASAF ngazi ya Wilaya akitoa mafunzo kwa wanachama wa kikundi kimojawapo kijiji cha Ngurdoto.

Mwezeshaji wa TASAF ngazi ya Wilaya  akitoa mafunzo kwa wanachama wa kikundi kimojawapo kijiji cha Ngurdoto.

Mwezeshaji wa TASAF ngazi ya Wilaya akitoa mafunzo kwa wanachama wa kikundi kimojawapo kijiji cha Ngurdoto.

Mwezeshaji wa TASAF ngazi ya Wilaya Ndg.Getrude Mkumbwa akitoa mafunzo kwa wanachama wa kikundi kimojawapo kijiji cha Ngyeku.

Mwezeshaji wa TASAF ngazi ya Wilaya Lea Linai akitoa mafunzo kwa wanachama wa kikundi kimojawapo kijiji cha Ngurdoto.


Wawezeshaji wa TASAF ngazi ya Wilaya Esta Mbwana(kulia )na Clamentina Mbise wakitoa ufafanuzi wa kina  kwa wanachama wa kikundi  kimojawapo kijiji cha Ngyeku.


Wanachama wa kikundi kimojawapo kijiji cha Ngurdoto wakifuatilia mafunzo.


Mwezeshaji wa TASAF ngazi ya Wilaya Digna Masawe akitoa mafunzo kwa wanachama wa kikundi kimojawapo kijiji cha Ngurdoto.

Mwezeshaji wa TASAF ngazi ya Wilaya Merry Kiondo akitoa mafunzo kwa wanachama wa kikundi kimojawapo kijiji cha Ngurdoto.


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa