Wilaya ya Arumeru inayoundwa na Halmashauri mbili, Meru Dc ikiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Mwl. Zainabu Makwinya na Arusha Dc ikiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Suleiman Msumi imekuwa Wilaya ya pekee kutokea Mkoa wa Arusha kushiriki katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa umma yanayofanyika Mkoani Dodoma.Maadhimisho hayo yamefunguliwa Leo rasmi na Mhe. George Boniface Simbachawene Waziri Menejimenti ya Utumishi wa Umma
Halmashauri ya Wilaya ya Meru
Anwani: P.o. Box 462 Usa River
Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482
Simu ya mkononi:
Barua pepe: ded@merudc.go.tz
Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa