• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Watendaji wa Serikali watahadharishwa na Rushwa kwa kutokutekeleza wajibu wao.

Imewekwa: July 7th, 2020

Watendaji wa Kata na Vijiji  Wilayani Arumeru,wametakiwa kuchukua hatua za kudhibiti madawa ya kulevya ikiwemo bangi kama Sheria inavyowataka kwani kutokufanya hivyo ni kujihusisha na kosa la Rushwa kwa matumizi mabaya ya madaraka kwa mujibu wa kifungu cha 31 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Namba 11 ya mwaka 2007.

Hayo yameelezwa na Mkuu wa Takukuru Wilaya ya Arumeru Ndg. Deo Mtui  baada ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha kutoa maagizo ya kusimamishwa kazi kwa Watendaji wa Kata na Kijiji katika Kata ya Mwandeti na Afisa Tarafa wa  Mukrati kuwa chini ya uangalizi kwa kushindwa kudhibiti kilimo cha bangi katika maeneo yao

Akizungumza na waendaji hao toka  Kata 26 na Vijiji 90,Maafisa Tarafa  pamoja na Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru, Mkuu huyo wa TAKUKURU  amesema kwa mujibu wa kifungu cha 31 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Namba 11 ya mwaka 2007 viongozi hao wanapaswa kuwakamata na kuwafikisha kwenye vyombo vya Sheria wale wote wanaotenda uhalifu kwenye maeneo yao ikiwa ni pamoja na uhalifu wa kulima,kuuza na kutumia Bangi.

Mtui ametoa wito kwa viongozi hao kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa Sheria ikiwa ni kuchukua hatua za kudhibiti kilimo cha bangi katika maeneo yao

Mkuu wa Takukuru Wilaya ya Arumeru Ndg. Deo Mtui  akizingumza na Watendaji wa Kata na Vijiji ,Wakuu wa Idara na Vitengo Halmashauri ya Wilaya ya Meru .

Maafisa Watendaji wa Kata na Vijiji wakati wa kikao .

Wakuu wa Idara/Vitengo Halmashauri ya Wilaya ya Meru wakati wa kikao .

Maafisa Watendaji wa Kata na Vijiji wakati wa kikao.



Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa