• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

CCM YAIELEKEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA MERU KUWAEZESHA WANANCHI KIUCHUMI

Imewekwa: February 23rd, 2018

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa chama cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Humphrey Polepole ameielekeza Halmashauri ya Wilaya ya Meru kuwa wabunifu katika kuwezesha wananchi kiuchumi kwa kuanzisha miradi shirikishi na yenye manufaa kwa wananchi wengi.

Ndg. Polepole ameelekeza hayo alipokua anatembelea kaya za  wanufaika wa mpango wa serikali wa kunusuru kaya maskini (TASAF) awamu ya III kwa lengo la kukusanya maoni ya namna ya uboreshaji wa utekelezaji wa TASAF awamu ya nne .

Raeli S. Nasari ambaye ni miongoni mwa wanufaika wa TASAF waliotembele wa wakati wa ziara ya siku moja ya Katibu wa NEC Itikadi na uenezi wa CCM amesema TASAF imebadili maisha yake  kwani kwa sasa anamiliki mgahawa mdogo pia ameweza kumsomesha mtoto wake na kuchimba kisima cha maji  pamoja na kukarabati nyumba yake.

Aidha ziara hii ya  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye Halmashauri  hiyo ya Wilaya ya Meru ni muendelezo wa Ziara ya kukagua na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwala 2015 – 2020 na kuleta chachu ya kuharakisha kuwahudumia wananchi, kutatua changamoto na kushughulika na shida zao.


                                                                                                                                                                                              

Ndg. Humphrey Polepole akizungumza na Elilia Nasari  mkazi wa Kata ya King'ori


                                                                                                                                                                                                      Ndg.Humphrey Polepole akimpongeza Raeli s. Nasari anayemiliki  wa mgahawa  


                                                                                                                                                                                            Ndg. Humphrey Polepole akizungumza na Ndekishio Samsoni mkazi  wa kijiji cha Sakila Kata ya Kikatiti

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa