• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

TASAFU YABADILI MAISHA MERU.

Imewekwa: March 20th, 2018

Sh.milioni 175,380,000 Kuzinufaisha  jumla ya Kaya 5,526 za walengwa wanufaika na mpango wa kunusuru kaya maskini  (TASAF) awamu ya III kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Meru .

Manufaa hayo ni baada ya Serikali kutoa fedha hizo  sh.milioni 175,380,000 kama malipo ya  mwezi Machi - Aprili  kwa walengwa hao 5,526 toka kwenye  vijiji 47 vya Halmashauri hiyo ikiwa sh 4,700,000 zitatumika kwa shughuli za usimamizi ngazi ya kijiji.

Boniface Mwilenga  ambaye ni Mratibu wa TASAF kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Meru  amesema Halmashauri hiyo kwa kipindi cha kuanzia mwezi Julai 2017 hadi Aprili  2018  imepokea  jumla ya sh milioni 854,280,000 kama malipo kwa wanufaika wa TASAF awamu iii.

Mratibu Mwilenga  amesema TASAF imefanya mabadiliko makubwa kwenye maisha ya walegwa kwani wengi wao wameboresha makazi  pia wamewekeza kwenye shughuli za kuongeza kipato kama vile ufugaji wa mbuzi wa maziwa ,Ng'ombe wa kisasa ,ufugaji kuku pamoja na kujishughulisha na ujasiriamali mdogo mdogo pia baadhi ya walengwa ambao hakuwa na uwezo wa kupata mahitaji  kama chakula sasa wanatumia fedha hizo kupata lishe na huduma za afya.

Mmoja wa wanufaika wa utekelezaji wa TASAF awamu  ya iii, Rebeca  Lazaro mkazi wa kijiji cha Patandi amepongeza uwepo wa mradi huo wa TASAF alio ufananisha na faraja ya mnyonge kwani ukiacha hali duni aliyokuwa nayo,pia ni mjane na familia yake  inamtegemea.

Ndg.Richard J. Sumari ambaye ni miongoni mwa wasimamizi (CMC) ngazi ya kijiji akimkabidhi  fedha  Rebeca Lazaro ambaye ni mnufaika wa TASAF wakati wa malipo kwa kipindi cha Mwezi Machi/Aprili kwenye kijiji cha Patandi.

Ndg.Boniface Mwilenga  ambaye ni Mratibu wa TASAF kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Meru.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa