• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI - TASAF MALIPO KWA WALENGWA JULAI/AGOSTI 2017

Imewekwa: August 18th, 2017

Halmashauri ya Wilaya ya Meru ilipokea shilingi 177,765,163.33.00 kutoka TASAF makao makuu kwa ajili ya Malipo na Usimamizi wa malipo hayo kwa walengwa 5,553 wa Mpango wa kunusuru kaya maskini katika vijiji 47 kwa kipindi cha Julai/Agosti 2017.

Kiasi cha shilingi 164,580,000.00 kati ya kiasi kilichopokelewa zilikuwa ni kwa ajili ya malipo kwa walengwa na kiasi kilichobakia, yaani shilingi 13,185,163.33 zilikuwa ni kwa ajili ya ajili ya usimamizi wa malipo hayo katika ngazi za vijiji na Halmashauri. Matumizi ya fedha za usimamizi ni pamoja na posho na nauli za wajumbe wa kamati za usimamizi za vijiji, posho za viongozi wa vijiji na wasimamizi wa Halmashauri, gharama za magari pamoja na ulinzi kwa muda wa siku zote za malipo.

Malipo yatafanywa kwa muda wa siku 5 kuanzia Alhamisi tarehe 10/08/2017 hadi Jumatano tarehe 16/08/2017. Hadi zoezi la malipo linakamilika, kaya 5,431 zililipwa jumla ya shilingi 161,104,000.00.  Kutokana na malipo hayo, kaya hizi ziliongezewa uwezo wa kifedha wa kukidhi mahitaji mbalimbali katika familia na jamii kwa ujumla.

 

Kaya 122 zilizostahili kulipwa hazikuweza kulipwa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo vifo na kutojitokeza siku za malipo. Hali hiyo ilisababisha shilingi 3,476,000.00 kubaki, kiasi ambacho kitarejeshwa TASAF makao makuu.

Zoezi la malipo kwa kipindi cha Julai/Agosti lilihitaji usafiri wa magari kwa ajili ya kupeleka wawezeshaji wa Halmashauri vijijini na kuwarudisha mara baada ya malipo. Aidha, usafiri ulihitajika kwa ajili ya kuchukua wajumbe wa kamati za TASAF za vijiji (wawili kila kijiji) pamoja na askari kutoka Benki na kuwapeleka vijijini.  Kwa ajumla yalihitajika angalau magari matatu ili kufanikisha zoezi hili.  Kwa bahati mbaya yalipatikana magari mawili tu ambapo moja kati ya hayo lilikuwa na majukumu mengine mbali na zoezi la malipo.  Hali hii ilisababisha mara nyingine malipo kufanywa hata baada ya muda wa kazi kumalizika.

Muhtasari wa malipo kwa kila kijiji ni kama ilivyoonyeshwa kwenye jedwali hapa chini:

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa