• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MERU YATOA MILIONI 315 MKOPO BILA RIBA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

Imewekwa: April 3rd, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Meru  imetoa fedha, kiasi cha shilingi miloni 315  ikiwa ni mkopo usio na riba  kwa vikundi 40 vya Wanawake, vikundi 23 vya  Vijana, pamoja na vikundi saba vya watu  wenye Ulemavu, ikiwa ni utekelezaji wa agizo ya Serikali kwa Halmashauri kuwawezesha wananchi kiuchumi kwa  kutoa asilimia 10 % ya mapato yake ya ndani kwa makundi hayo matatu kama  mikopo isiyo na riba .

Akizungumza wakati wa hafla fupi ya  utoaji mafunzo na ukabidhi wa hundi ya mfano, iliyofanyika  viwanja vya halmashauri hiyo, Bi.Flora Msilu ambaye ni Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii amesema Halmashauri  ya Meru  inaendelea kutekeleza  kwa vitendo, azimio  la Serikali  ya awamu ya sita la kuwawezesha Wananchi kiuchumi kupitia mapato ya ndani ya Halmashauri.

Msilu, ametoa Wito kwa wanufaika wa mkopo huo kufanya marejesho ili kutoa fursa kwa wananchi wengine  kunufaika ,  vilevile  amehimiza

Wanufaika kutumia mkopo  kwa malengo kusudiwa  ambapo amehimiza mkopo kuimarisha amani na upendo ndani ya  familia.Pia amewakumbusha wazazi/walezi  kutenga muda wa kuwasikiliza na kuwahudumia watoto ili kuzuia na kutokomeza vitendo vya kikatili dhidi yao "wazazi tusiwasahau watoto kwa kigezo cha kutafuta fedha" amesisitiza Msilu

Kwa upande wao Viongozi wa Jumuia ya Vijana wa CCM wametoa Wito kwa Vijana  kutumia mkopo huo kwa tija ili kujikwamua kiuchumi na kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa Taifa ambapo wamebainisha  chama cha mapinduzi kuendelea kuhakikisha Serikali inawaletea wananchi maendeleo "Nitoe Wito kwa Vijana kuchangamkia fursa ya mikopo isiyo nariba ya asilimia 10% kujikwamua kiuchumi na kushiriki kulijenga Taifa"amehimiza Ombeni Elisante Mwenyekiti wa UVCCM Meru

"Chama cha mapinduzi kinahakikisha wananchi mnapata maendeleo utoaji huu wa mkopo usio na riba ni utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)  Sura ya Pili ibara 23  ambayo inalenga kuwawezesha wanawake ,Vijana na Wenye ulemavu kujikwamua kiuchumi" amefafanua Remmy Nasari katibu wa UVCCM Meru

Ikumbukwe utoaji huu wa Mkopo ni kwa kipindi cha Robo ya Pili ya Mwaka wa Fedha 2022/2023







Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa