• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

ALIYEKUA MKUU WA WILAYA YA ARUMERU AWATAKA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MERU KUSHIRIKIANA

Imewekwa: November 2nd, 2017

Aliyekua Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Alexander Mnyeti amewataka watumishi wa Halmashauri ya Meru kushirikiana na kuchapa kazi kuendana na Serikali ya awamu ya Tano na kuwasihi kusamehana pale tofauti zinapotokea ili kuboresha mahusiano yao ya kazi na kuleta tija kwenye utendaji kazi,haya amesema  wakati akiagana na watumishi hao kwenye ukumbi wa Halmashauri hiyo ambapo Kaimu mkuu wa Wilaya ya Arumeru ambaye pia ni Mkuua wa Wilaya ya Longido Daniel Chongolo alitambulishwa .

Aidha tarehe Mosi mwezi  huu Myeti  kwenye kikao maalumu cha viuongozi wa Wilaya ya Arumeru aliwaaga  kwa kuwashukuru kwa ushirikiano waliompa na kuwasihi kumpa ushirikiano huo kaimu Mkuu wa Wilaya hiyo Daniel Chongolo.Pia amewasihi viongozi wa vijiji na kata kufanya kazi kwenye mipaka yao ili kumsaidia Danieli Chongolo  

Mnyeti Aliipongeza Halmashauri ya Meru kwa kununua pikipiki 26 kama  vyombo vya Usafiri kwa Maafisa watendaji wa Kata  jambo litakalo boresha utoaji huduma na kukabithi pikipiki hizo kwa Maafisa watendaji wawili wa kata ya Nkoanekoli na Usariver kwa niaba ya wengini  pia alimtaka Mkurugenzi  mtendaji wa Halmashauri ya Arusha  Dkt.. Wilson Mahera Charles  kuwanunulia pikipiki Maafisa watendaji wa kata wa Halmashauri hiyo.

Picha ya Maafisa Watendaji wa Kata wanawake wakifurahia pikipiki walizokabithiwa na Halmashauri ya Meru kama vyombo vya usafiri,wa kwanza kushoto ni Afisa Mtendaji wa Kata ya Nkoaneoli  Climentina L. Mbise amesema kua Pikipiki hizo zitarahisisha utendaji kazi na kuleta maendeleo kwenye Kata na Viijiji kwani zitatumiwa na wataalamu mbalimbali waliopo kwenye Kata kwenye kutekeleza majukumu yao.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa