• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

ARUMERU KUTOKUZIFUMBIA MACHO ASASI ZA KIRAIA ZINAZOFANYA UDANGANYIFU

Imewekwa: June 3rd, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Emmanuela Kaganda ametoa onyo kwa Mashirika yasiyo ya Kiserikali yanayofanya udanganyifu kwa kutokuweka wazi taarifa za mapato na matumizi ya fedha toka kwa wahisani, kwani hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Akizungumza  katika kikao cha jukwaa la Mashirika yasiyo ya kiserikali katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru, Mhe. Kaganda amesema  Wilaya hiyo itafanya Msako  kubaini Mashirika  yanayofanya kazi kinyume na utaratibu na yasioleta  tija kwa jamii hivyo kukwamisha azma  ya Serikali ya kuwaletea wananchi maendeleo  kwa wakati.

Mhe.Kaganda ameyataka  mashirika yote yanayofanya  udanganyifu  ikiwa ni pamoja na ubadirifu wa fedha  za miradi  toka kwa wahisa  kuacha mara moja ambapo ameiagiza Halmashauri kufanya ufuatiliaji kujua bajeti  na shughuli shughuli zinazofanywa na mashirika hayo

" shirika linapata mamilioni ya fedha toka kwa wahisani linatekeleza mradi wenye thamani ya  asilimia  1% ya fedha" amehoji Mhe. Kaganda

Kwa upande wake Mkurugenzi  Mtendaji  wa Halmashauri  ya  Wilaya  ya  Meru Mwl.Zainabu Makwinya  amesema utambuzi wa Mashirika  yasiyo ya Kiserikali  unaendelea.Pia ameshukuru  mashirika ambayo yanayoshirikiana na Serikali katika swala zima la  maendeleo.

Kwa niaba ya Mashirika yasiyo ya Kiserikali Vicent Uhega ambaye ni Mwenyeki wa Mashirika  yasiyo  ya Kiserikali  na Mkurugenzi wa Shirika  Voice of Youth Tanzania  amesema mashirika hayo yataendelea  kushirikiana na serikali kwa uwazi na ukaribu  ili kuwaletea wananchi maendeleo.

Jukwaa hilo la Mashirika  yasiyo  ya  Kiserikali  limefanyika katika ukumbi wa Halmashauri  ya Wilaya  ya  Meru  na kujumuisha wawakilishi wa Mashirika  mbalimbali  yasiyo  ya Kiserikali  yaliyopo katika Halmashauri ya Meru.



Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa