• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

ARUSHA DC NA MERU DC WAKUBALIANA KUGAWANA KIWANJA KILICHOKUWA KIKIMILIKIWA NA HALMASAHURI YA ARUMERU KABLA YA KUGAWANYWA

Imewekwa: March 18th, 2022

Halmashauri ya Meru na Arusha  wagawana eneo.

Viongozi wa Halmashauri mbili za Meru na Arusha wilayani ya Arumeru, wafikiaa mufaka  kugawana eneo lenye ukubwa wa mita za mraba 3200, lililoko eneo la Engira Road Jijini Arusha.

Awali eneo hilo lilikuwa likimilikiwa na iliyokuwa halmashauri ya Arumeru, ambayo ilivunjwa na 30Juni 2007 na tarehe 01 Julai, 2007 kuzaliwa halmashauri mbili za Arusha na Meru na kulazimika kugawana baadhi ya mali zilizokuwa zikimilikiwa na halmashauri hiyo ya Arumeru.

Makubaliano hayo yamefikiwa mara baada ya pande zote mbili, kukaa vikao vya kisheria katika halmashauri husika na hatimaye kukutana kwenye kikao cha pamoja, kilichosimamiwa na kuongozwa na Katibu Tawala wilaya ya Aruemru, Mwalimu James Mchembe, kwa niaba ya mkuu wa wilaya ya Arumeru.

Katika kikao hicho kilichojumuisha Waheshimiwa Madiwani wa Kamati ya Fedha Utawana na Mipango na timu ya Menejimenti ya halmashuri zote mbili za Arusha na Meru, na kufikia makubaliano ya kugawana eneo hilo nusu kwa nusu bila kujali majengo yaliyopo katika eneo hilo.

Aidha mgawanyo wa eneo hilo utawezesha halmashauri ya Arusha kupata mita za mraba 1,600, kadhalika halmashauri ya Meru kupata mita za mraba 1,600 pia.

Aidha baada ya makubaliano hayo, viongozi hao wamewaagiza watalamu wa Ardhi wa pande zote mbili kuanza mchakato wa kugawa eneo hilo kwa haraka na kupata hati miliki ya kila eneo, ili kila halmashauri iwe na hati miliki yake pamoja na kuanza kutumia maeneo hayo kwa manufaa ya wanachi wa halmashauri zote mbili.



Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa