• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Baraza la Wafanyakazi Halmashauri ya Wilaya ya Meru lapitia bajeti ya mwaka wa fedha 2021/2022.

Imewekwa: February 24th, 2021

Baraza la Wafanyakazi Halmashauri ya Wilaya ya Meru, Wilayani Arumeru limepitia rasimu ya bajeti ya Halmashauri hiyo kwa mwaka wa fedha 2021/2022 yenye jumla ya shilingi bilion 46.3.

Mwenyekiti wa Baraza hilo Ndg.Emmanuel Mkongo ambaye pia ni Mkurugenzi wa Halmashauri, ametoa wito kwa  watumishi kuongeza juhudi na ufanisi katika utendaji wao kwani jukumu kubwa la Halmashauri ni kutoa huduma kwa wananchi.

Mkongo ametaja changamoto zinazo athiri utoaji wa huduma ilkiwemo ulipaji wa stahiki mbalimbali za watumishi kwa wakati, kufanya kazi kwa mazoea na uwezo mdogo  wa Halmashauri kujitegemea. Hivyo, ametoa wito kwa watumishi kuongeza juhudi, ufanisi  na ubunifu katika kuongeza uwezo wa Halmashauri kujitegemea "uwezo wa Halmashauri hii kujitegemea ni asilimia 7  hivyo hatuna budi kuongeza juhudi na uwajibikaji kwa kutoa huduma bora na kubuni vyanzo vipya vya mapato kuongeza  ukusanyaji wa mapato ya ndani kwa vyanzo vilivyopo "amesisitiza Mkongo.

Mkongo amefafanua  bajeti hiyo yenye jumla ya shilingi bilioni 46.3 inahusisha mapato ya ndani jumla ya shilingi bilioni 3.4, ruzuku ya mishahara Shilingi bilioni 35.7, ruzuku ya matumimizi mengineyo ni shilingi bilioni 1.7 na ruzuku ya miradi ya maendeleo ni shilingi bilioni 5.2.

Wakichangia kwa nyakati tofauti, watumishi wameiomba Serikali kuongeza umri wa ukomo wa watoto katika bima ya afya ya Taifa (NHIF) kutoka miaka 18 hadi 23 kwani jambo hilo ni kikwazo kikubwa kwao "mtumishi unawajibika kumlipia mtoto wako huduma za afya ambaye ana umri wa miaka  chini ya 25 ambaye yupo Chuo Kikuu kwa kigezo cha umri kuzidi miaka 18" amesema Bi. Felister Lonjini

Aidha  watumishi hao wameiomba Serikali kuwawezesha watumishi wanaojiendeleza kitaaluma  kupanda madaraja na vyeo bila kuondoa miaka ambayo wameitumia masomoni sambamba na kuwajulisha watumishi sababu za kupanda au kutopanda vyeo.

Viongozi wa vyama vya wafanyakazi wameipongeza Halmashauri  kughulikia maslai ya watumishi wastaafu na kutoa wito kwa Halnashauri kuwajengea watumishi uelewa wa maswala yanayogusa stahiki zao ambapo  Katibu wa Chama cha wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya TUGHE (M), ndugu Samweli Magero ameomba Halmashauri kutoa elimu  juu ya stahiki kwa Watumishi  wanaojiendeleza.

Ikumbukwe rasimu ya bajeti hii ya Halmashauri  ilipitishwa katika baraza la madiwani tarehe 10 februari 2021.

Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi Halmashauri ya Meru Ndg.Emmanuel Mkongo ambaye pia ni Mkurugenzi wa Halmashauri,kushoto ni Katibu wa baraza hilo Bi.Oliver Swatty.

Wakuu wa idara wakati wa mkutano baraza la wafanyakazi.

Mkuu wa idara ya utawala na rasilimali watu Bi. Grace Mbilinyi akitoa  ufafanuzi wa maswala mbalimbali ya kiutumishi yaliohojiwa wakati wa baraza la wafanyakazi.

Katibu wa Chama cha wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya TUGHE (M), ndugu Samweli Magero akizungumza wakati wa Mkutano wa baraza la wafanyakazi Halmashauri ya Wilaya ya Meru.

Watumishi na viongozi wa watumishi wakati wa Mkutano wa baraza la wafanyakazi.

Watumishi na viongozi wa watumishi wakati wa Mkutano wa baraza la wafanyakazi.

Watumishi na viongozi wa watumishi wakati wa Mkutano wa baraza la wafanyakazi.

Watumishi  wakati wa Mkutano wa baraza la wafanyakazi.

Watumishi  wakati wa Mkutano wa baraza la wafanyakazi.

Watumishi  wakati wa Mkutano wa baraza la wafanyakazi.

Watumishi  wakati wa Mkutano wa baraza la wafanyakazi.

Bi. Angela Urasa ,Miongoni mwa watumishi waliotoa maoni 

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa