• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

BARAZA LA HALMASHAURI YA WILAYA YA MERU SIKU YA PILI.

Imewekwa: October 3rd, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Meru imefanya Mkutano wa Baraza la Halmashauri kwa siku ya Pili lililotanguliwa na maswali ya Papo kwa Papo kwa Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri na Mkurugenzi Mtendaji.

 Mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Halmashauri Leo Tarehe 03.10.2023.

Kwa Mujibu wa Kanuni ya 24 ya kanuni za kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Meru za mwaka 2014, wajumbe wamepata nafasi ya kuuliza maswali ya Papo kwa Papo kwa Mheshimiwa Mwenyekiti na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri.

 Aidha, Wenyeviti wa Kamati za kudumu za Halmashauri wamewasilisha taarifa za Kamati zao na kutolea ufananuzi kwenye maeneo ambayo yamehitaji ufafanuzi.

Ambapo, moja ya Masuala yaliyojadiliwa na kutolewa maelekezo ni pamoja na suala la uwiano wa walimu na wanafunzi katika shule za Msingi zilizopo Wilayani humo.

 Kamati hizo ni Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango, Kamati ya Elimu, Afya na Maji, Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira pamoja na Kamati ya Mpango wa kudhibiti UKIMWI.

Hata hivyo, Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Jeremia Kishili ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuleta Fedha nyingi za utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo.

 Vilevile, Katibu wa Mkutano huo Mkurugenzi Mtendajiwa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mwl. Zainabu J. Makwinya ametoa tahadhari ya Mvua kubwa za El nino na kusisitiza kuwa mvua hizi zinazoendelea kunyesha zitumike kulima na kupanda mazao yanayoendana na Mvua kwani Utabiri wa Hali ya hewa uliotolewa na mamlaka ya Hali ya hewa wameeleza kuwa mvua hizi zinaweza kunyesha hadi mwezi Januari 2024.

Pia Mwl. Zainabu amekumbushia maandalizi ya Bajeti kwa ngazi ya chini kufanyika mapema na kuchagua miradi yenye tija na itakayo malizika na siyo kupanga miradi mingi ambayo haitaweza kukamika na kuacha viporo.



Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa