• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

BARAZA LA HALMASHAURI YA WILAYA YA MERU LAPITISHA RASIMU YA BAJETI KIASI CHA BILIONI 46.3.

Imewekwa: February 10th, 2021

Ujenzi wa Kituocha Afya  cha kisasa chenye thamani ya Milioni 400 kutekelezwa kupitia Bajeti ya Halmashauri ya Wilaya ya Meru yenye jumla ya shilingi 46,375,641,181.10 iliyopitishwa na Baraza la Halmashauri  hiyo kwa  mwaka wa Fedha 2021/22 .

Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Jeremiah Kishili  amesema madiwani wamepitisha bajeti hiyo yenye jumla ya shilingi 46.3 ambapo mchanganuo wake ni mapato ya ndani shilingi bilioni 3.4, mishahara shilingi bilioni 35.7, ruzuku ya matumimizi mengineyo shilingi bilioni 1.7 na ruzuku ya miradi ya maendeleo ni shilingi bilioni 5.2.

Naye , Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Ndg.Emmanuel Mkongo amesema  katika bajeti ya mapato ya ndani ya shilingi bilioni 3.4,   Halmashauri hiyo imeelekezwa na Serikali kuboresha huduma za afya kupitia mapato yake ya ndani ambapo jumla ya shilingi Milioni 400 zimetengwa kwaajili ya ujenzi wa Kituocha Afya katika mwaka wa fedha 2021/2020  .

Mkongo amesema maelekezo hayo yalitolewa siku chache kabla ya Mkutano huo ambapo Waheshimiwa Madiwani  wamependekeza Kituocha Afya kujengwa katika Kata ya Maroroni.

Mkongo ametoa wito kwa Madiwani kushikiana kikamilifu na Watumishi katika kukusanya mapato ili kuweza  kuwaletea wananchi maendeleo “ili kukamilisha kituo hicho cha afya chenye thamani ya shilingi milioni 400 ambazo ni fedha za makusanyo ya mapato ya ndani hatuna budi kukusanya  mapato kwa asilimia 100%” amesisitiza Mkongo.

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Halmashauri hiyo, Dkt.Maneno Focus amesema Halmashauri ina vituo vya afya 10 ambapo kati ya hivyo saba ni vya Serikali ambapo katika Tarafa ya king'ori kuna vituo vitatu, Tarafa ya Poli vinne na Tarafa ya Mbuguni vinne.

Dkt.Focus ameeleza zaidi kuwa Halmashauri hiyo ina upungufu wa vituo vya afya katika kata 18 sawa na asilimia 69 ambapo ujenzi wa kituo hicho utapunguza changamoto za Mama na Mtoto na kuondoa changamoto ya umbali kwa wananchi kupata huduma.

Mhe.Diwani wa Kata ya Maroroni Yona Kaaya amesema  ujenzi wa kituo hicho cha afya utakwenda kutatua changamoto walizokuwa wanakumbana nazo wananchi ikiwemo umbali mrefu, mrundukano wa watu katika baadhi ya vituo vya afya.

Ikumbukwe kuwa katika Mwaka wa fedha 2017/18, Serikali iitoa Shilingi Milioni 500 kwaajili ya ujenzi na uboreshaji wa Kituo cha Afya Usa- River katika Halmashauri ya Wilaya ya  MERU ambacho kimeboresha upatikanaji wa Huduma bora za afya.

BAADHI YA PICHA .

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Ndg.Emmanuel Mkongo akizungumza wakati wakikao.(kushoto)ni Mwenyekiti wa  Halmashauri hiyo Mhe.Jeremia Kishili.


Waheshimiwa Madiwani wakati wa kikao.

Waheshimiwa Madiwani wakati wa kikao.
Waheshimiwa Madiwani wakati wa kikao.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa