• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

BARAZA LA MADIWANI LATANGAZA NEEMA KWA WAFANYABIASHARA SOKO LA TENGERU

Imewekwa: September 8th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Meru, Wilayani Arumeru inatarajia kutengeneza meza Mia sita kwa ajili ya wafanyabiashara wa soko la Tengeru ikiwa ni mikakati ya uboreshaji wa miundombinu ya masoko  na uwekaji mazingira rafiki ya kibiashara na kuimarisha vyanzo vya mapato.

Akizungumza wakati wa Mkutano wa baraza la Halmashauri hiyo  Mhe.Julius Mungure Diwani wa Kata ya Akheri amepongeza hatua zinazoendelea za uboreshaji wa Soko la tengeru ambapo mbali na Halmashauri  kufanya  ukarabati mdogo wa miundombinu katika  choo cha soko hilo  inaendelea na mchakato wa  kutengeneza  Meza 600 kwa ajili ya wafanyabishara.

Mhe.Mungure amesema utengenezaji huo wa meza Mia sita  unatija kubwa kwani utaondoa adha  waliyokuwa wanapata wananchi  ya kupanga bidhaa chini ambapo ameshauri meza zilizopo katika soko hilo kuboreshwa  ili ziendelee kutumika.

Awali, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mwl.Zainabu Makwinya amesema Halmashauri itatengeneza Meza mia sita kwa ajili ya wafanya biashara  wa soko la Tengeru ili kuongeza idadi ya meza katika soko hilo kwani huko nyuma Halmashauri ilishatengeneza meza 200 na baadhi zinaitaji ukarabati.

Vilevile Mwl.Makwinya  amesema uboreshaji huo ni pamoja ukarabati mdogo wa miundombinu ya choo cha  soko hilo, ambao umekua  nne ya  kiasi kilichokuwa kikikusanywa awali cha Shilingi laki moja na elfu ishirini kwa  mwezi.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mhe. Jeremia Kishili amesema  wakati  uboreshaji huo unaendelea ni muhimu kwa wafanyabiashara kufanya biashara kwa usalama kwa kuondoka maeneo ya barabarani na kuingia ndani ya soko.

Mkutano wa Baraza la Halmashauri  wa siku mbili umehitimishwa katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru.


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa