• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR LAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA TASAF ARUMERU

Imewekwa: March 6th, 2023

Wajumbe  wa Kamati ya kusimamia viongozi Wakuu wa Kitaifa , Baraza la Uwakilishi la Zanzibar wamepongeza utekelezaji wa Miradi ya TASAF OPEC III katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru ,Wilayani Arumeru na kutoa wito kwa jamii kutumia vizuri miradi hiyo ikiwa ni kuitunza ili idumu  na kuleta tija iliyokusudiwa.


Wajumbe hao wakiongozwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo, Mhe.Machano Othman Said, wameipongeza Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendeleza mpango wa TASAF OPEC III unaolenga  kumkwamua  Mwananchi kuondokana na umaskini


Machano amesema Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan anahakikisha Watanzanua wote wanapata maendeleo ambapo  utekelezaji wa Mradi wa TASAF OPEC III na miradi mingine  kwa ujumla  ni jitihada za kudumisha Umoja, amAmani na Mshikamano kwa kuwaletea watanzania maendeleo " watumishi wa zahanati ya Kandashe wametoka mikoa mbalimbali kuja kuwahudumia na kupitia TASAF wamepata nyumba ya kuishi hivyo miradi imeendeleza umoja wetu sisi Watanzania"amesema


Naye Makamu mwenyekiti wa kamati hiyo, Mtumwa yusuph ambaye ni mwakilishi wa jimbo la bubwini ametoa wito kwa jamii kutimiza wajibu wao katika malezi sambamba na  kuitunza Miradi hiyo ya TASAF kuifanyia usafi ,kukarabati  kwa wakati ili kuepusha madhara makubwa sambamba  na kuwapa ushirikiano watumishi wanaopangwa kufanya kazi kwenye miradi hiyo " niwasihi wazazi tutekeleze jukumu letu watoto waende shule na tuhakikishe tunahusika katika malezi ya watoto kwani kizazi cha leo ndio tunachokitegemea kwa kesho" amesema


ikiwa ni siku ya kwanza ya ziara  yao  katika Halmashauri ya  Meru wametembelea miradi ya Ujenzi wa Vyumba vinne  vya madarasa shule ya msingi Noseiya, Ujenzi wa Zahanati ya Kandashe pamoja na ujenzi wa Nyumba ya Mtumishi zahanati ya Kandashe.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe.Emmanuela Kaganda  amepongeza miradi  ya TASAF kufanyika vizuri

Wakizungumza kwa nyakati tofauti Wananchi wa Kijiji cha Kandashe wamesema miradi hiyo ya TASAF  ni mkombozi kwao kwani kupitia Zahanati ya Kandashe kwa sasa wanapata huduma za matibabu  masaa 24.


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa