• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

"BEI YA MAJI KUENDANA NA HALI YA UCHUMI WA WANANCHI"KAULI YA KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE KITAIFA

Imewekwa: September 19th, 2018

Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa Ndg.Charles Kabeho alipoweka jiwe la msingi kwenye mradi wa maji kijiji cha Nshupu Halmashauri ya Wilaya ya Meru ,ameitaka  kamati ya  maji ya Kijiji hicho kupanga bei ya maji kwa kuzingatia hali ya kiuchumi wa wananchi .

Ndg.Kabeho amesema lengo la Serikali ni kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya maji katika umbali usiozidi mita 400 hivyo uwepo wa miradi ya maji karibu na wananchi lazima uendane na gharama za kupata maji kwa kwa kuzingatia hali ya kiuchumi ya wananchi.

Aidha Ndg.Kabeho ametoa wito kwa katibu mkuu wizara ya maji kupeleka fedha zinazoitajika kukamilisha miradi ya Maji katika Halmashauri hiyo ya Meru kwani miongoni mwa miradi inayohitaji fedha hizo ili kukamilika ni mradi huo wa maji Kijiji cha Nshupu.

PICHA ZA TUKIO.

Mhandisi wa Halmashauri ya Meru ,Eng Happyness Mrisho akisoma taarifa ya Mradi wa Maji Kijiji cha Nshupu.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa akizungumza kabla ya kuweka jiwe la msingi katika Mradi wa Maji kijiji cha Nshupu.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa Ndg.Charles Kabeho akiweka  jiwe la msingi katika Mradi wa Maji kijiji cha Nshupu.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa akimkabidhi mwenyekiti wa kamati ya maji kijiji cha Nshupu, Joseph Kiware cheti cha makabidhiano ya mradi na katiba ya kuendesha mradi huo wa maji kijiji cha Nshupu baada ya kuweka jiwe la msingi katika Mradi wa Maji kijiji cha Nshupu.


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa