• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

DAFTARI LA AWALI LA MPIGA KURA LAEKWA WAZI KATIKA VITUO VYOTE VYA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI.

Imewekwa: June 17th, 2020

Afisa Mwandikishaji Jimbo la Arumeru Mashariki anawatangazia Wananchi waJimbo hilo kuwa, ameweka wazi daftari la kudumu la wapiga kura kwa siku nne kuanzia leo tarehe 17 hadi 20 June 2020.

WAHUSIKA

Wapiga Kura wote waliojiandikisha kwenye Daftari la kudumu la Wapiga Kura mwaka 2015 na wale waliojiandikisha wakati wa uboreshaji wa Daftari la kudumu la Wapiga Kura awamu ya kwanza na ya pili mwaka 2019 na mwaka 2020 .

Wapiga Kura ambao hawakuhakiki taarifa zao wakati wa uwekaji wazi Daftari la awali la Wapiga Kura.

Wapiga kura Watakao hakiki taarifa zao kwenye Daftari la awali la WapigaKura lililowekwa wazi na kukuta picha zao hazipo wanatakiwa kwendakituo cha Shule ya Msingi Leganga kilichopo Kata ya Usa River ili wachukuliwe picha na kupewa kadi nyingine.

MAMBO YA KUZINGATIA

Iwapo mpiga kura amehakiki taarifa na kutaka kufanya Marekebisho, atakiwa kwenda kituo cha Shule ya Msingi Leganga kilichopo Kata ya Usa River na kurekebisha taarifa zake.

 Mpiga kura anayetaka kumwekea pingamizi mpiga kura asiye na sifa atatakiwa kwenda ofisi za Afisa mwandikishaji zilizopo Makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Meru.

Mpiga kura anatakiwa kutoa taarifa za ndugu waliofariki ili waondolewe kwenye Daftari lakudumu la mpiga Kura.

Iwapo mpiga kura atahakiki taarifa zake na kubaini kuwa picha yake haipo, atatakiwa kwenda kituo cha Shule ya Msingi Leganga kilichopo Kata ya Usa River ili achukuliwe picha nyingine.


NJIA ZA KUHAKIKI TAARIFA ZA MPIGA KURA

Mpiga Kura atafika kwenye Kituo alichojiandikisha na kuhakiki taarifa zake kwenye orodha itakayobandikwa katika kituo hicho Kupiga simu ya kiganjani kwa kupiga na *152*00| na kufuata maelezo.

Mpiga kura atapiga simu namba 0800112100 na kufuata maelezo yatakayomuunganisha na mtoa huduma.

 Mpiga kura anawezakutembelea tovuti ya Tume ya Taifa ya uchaguzi www.nec.go.tz na kubofya sehemu iliyoandikwa uhakiki.
















Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa