• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

DC ARUMERU AAGIZA MIRADI KUKAMILIKA DESEMBA

Imewekwa: October 29th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhandisi, Richard Ruyango ameagiza miradi iliyoletewa fedha na Serikali kiasi cha Shilingi  Bilioni 1.78  katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru kukamilika kabla ya tarehe 10 Desemba 2021 na kwa ufanisi mkubwa.

Mhe.Ruyango amesema hayo  wakati wa kikao na Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru ambapo amewataka kusimamia kwa karibu miradi hiyo na miradi yote iliyoletewa fedha na Serikali  hivi karibu "nawataka msimamie fedha  na utekelezaji wa  miradi yote iliyoletewa fedha na Serekali kwa ufanisi mkubwa "amehimiza Ruyango

Ruyango amempongeza Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan kutoa Bilioni 1.4 fedha za mpango wa maendeleo dhidi ya UVIKO 19, kujenga vyumba 70 vya Madarasa katika Shule za Sekondari, Milioni 80(fedha za UVIKO -19) kujenga  bweni la wanafunzi wenye mahitaji maalum katika Shule ya Msingi  Patandi Maalum, Milioni 250 fedha za tozo za Simu  kwaajili ya ujenzi wa Kituo cha Afya Mareu,na Shilingi Milioni 50(fedha za tozo) kwaajili ya ukamilishaji wa maboma 2  katika  Shule za Sekondari

Naye, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mwl.Zainabu Makwinya amemshukuru Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha hizo ambazo zimeshaingia katika  akaunti za Shule na akaunti ya Zahanati ya  Mareu na kuahidi kuzisimamia  ili miradi hiyo  kutekelezwa kwa  ubora.

Baadhi ya picha za tukio.

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhandisi Richard Ruyango ,Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mwl.Zainabu Makwinya na Kushoto ni Mkuu wa Idara ya Utawala na rasilimali watu .

Wakuu wa Idara na Vitengo wakati wa kikao

Wakuu wa Idara na Vitengo wakati wa kikao

Wakuu wa Idara na Vitengo wakati wa kikao

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa