• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

DC ARUMERU AWAPONGEZA WATAALAM MERU DC

Imewekwa: June 15th, 2024

DC ARUMERU AWAPONGEZA WATALAMU MERU DC

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Emmanuela Kaganda ameupongza uongozi wa Halmashauri ya Meru, watalamu na Madiwani kwa kufanyakazi kwa ushirikiano, ambao matunda yake yanaonekana kwa halmashauri hiyo kwa kupata Hati Safi kwa miaka 3 mfululizo.

Mhe. Emmanuella ametoa pongezi hizo wakati akizungumza kwenye Mkutano Maalum wa Baraza la Madiwani wa kujadili Hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali za halmashauri hiyo kwa mwaka wa fedha 2022/2023, uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa halmashauri hiyo leo Juni 14, 2024

Ameweka wazi kuwa, halmashauri ya Meru imeendela kufanya vizuri katika utekelezaji wa shughuli za maendeleo ikiwa ni pamoja na usimamizi wa fedha za serikali unaozingatia viwango, na kuwezesha kupungua kwa kiasi kikubwa cha Hoja za ukaguzi ukilinganisha kwa miaka ya nyuma.

"Niwapongeze watalamu, waheshimiwa madiwani, viongozi wa Chama,  wananchi wote wa Meru kwa umoja wenu kwa kuhakikisha, miradi inatekelezwa kwa wakati na kwa viwango vinavyotakiwa huku wananchi wakifurahia matunda ya serikali yao ya awamu ya sita chini ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassani yenye malengo ya kusogeza huduma zote za kijamii kwenye maeneo yao" Amebainisha Mkuu huyo wa wilaya

Amewasisitiza watalamu na viongozi kuendelea kushirikiana ili kusukuma mbele gurudumu la maendeleo kwa kutekeleza ilani ya CCM yenye lengo la kufikisha huduma za jamii kwa wananchi, huduma zitakazotatua kero zao.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa