• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

DC MKALIPA AFUNGUA TAMASHA LA UHAMASISHAJI KWA WANANCHI KUSHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA.

Imewekwa: September 21st, 2024

Mapema leo tarehe 21 Septemba 2024, Mkuu Wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Amir M. Mkalipa amefungua rasmi Tamasha la kuhamasisha wananchi kujitokeza kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika mwaka huu Tarehe 27 Novemba 2024.

Mhe. Mkalipa katika Tamasha hilo amewataka wananchi wote wa Halmashauri hiyo kujitokeza tarehe 11 hadi 20 mwezi Oktoba,  2024 kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura pamoja na kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa ifikapo mwezi Novemba 2024.


Ameeleza kuwa GN kwa maana ya mikapa ya maeneo imeshatangazwa na vituo vya kupigia kura  vimeshatambuliwa na kubandikwa kwenye Kata, Vitongoji na Vijiji.

Pia, Mkalipa ameeleza kuwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa mwaka 2024 utakuwa ni uchaguzi wa Haki na Amani hivyo wananchi wahakikishe wanajitokeza kujiandikisha.


" Kati ya sifa za mwananchi kumwezesha kuweza kupiga kura lazima awe na sifa zilizoainishwa ikiwa ni pamoja na kuwa mwananchi huyo awe amefikisha miaka 18, awe Raia wa Tanzania lakini awe Mkazi wa Eneo husika" amesema Mkalipa

Mwisho Mhe. Mkalipa ameeleza kuwa suala la kuhamasisha uchaguzi ni suala la kila mtanzania hivyo wananchi wote wachukue jukumu la kuhamasisha suala la uchaguzi wa serikali za Mitaa

Tamasha hilo lililofanyika katika Viwanja vya Ngarasero Kata ya Usariver likiambatana na michezo mbalimbali kama Matembeze ( Jogging), mpira wa Miguu, kukimbiza kuku, kukimbia na yai na michezo mingine.Tamasha hilo limepewa jina la KIMBIA KIUCHAGUZI NA MERU DC.

Kauli Mbiu " Serikali za Mitaa, Sauti ya Wananchi, Jitoteke kushiriki Uchaguzi"

fungua hapa kupata video,☝️

fungua hapa kupata video,☝️

fungua hapa kupata video,☝️


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa