• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

DC ARUMERU ATOA WITO,UMOJA KUIJENGA MERU

Imewekwa: September 2nd, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhandisi Richard Ruyango atoa wito kwa  Madiwani na Wataalum wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru kushirikiana kikamilifu  katika utekelezaji wa shughuli za Serikali kwa maendeleo ya Halmashauri hiyo.

Ruyango ameyasema hayo wakati wa Mkutano wa Baraza la Madiwani ambapo amehimiza kuwa Halmashauri inajengwa na Madiwani na Wataalamu. Hivyo  ameelekeza taarifa zinazowasilishwa kwenye baraza hilo kutoka kwenye  kata kuwa na uhalisia ili kuepuka hoja zisizo na msingi, "taarifa hizi ni Kumbukumbu za Kudumu za Halmashauri, hivyo ni lazima ziwe sahihi "amehimiza Ruyango.

Naye,Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mhe.Jeremia Kishili amewataka Madiwani kupitia taarifa zao za kata kabla ya kuziwasilisha kwaajili  ya baraza .Pia katika changamoto ya uharibifu wa wanyama pori Mhe.Kishili ameitaka idara ya maliasili kutoa elimu  kwa wananchi juu ya kuepuka madhara ya wanyama pori.

Kwa upande wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mwl.Zainabu Makwinya  amewaelekeza Watendaji wa kata kuhakikisha taarifa zinazotoka kwenye maeneo yao ni sahihi ambapo pia  amewashukuru Waheshimiwa Madiwani ,wakuu wa Idara na Vitengo kwa ushirikiano mzuri wakati wa kikao na kuwasihi kuendelea hivyo .

Vilevile  Mwl.Makwinya amemshukuru Mhe.Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kumteua kuwa mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya  Meru ambapo pia ametuma Salaam za shukurani kwa  viongozi na watumishi wa Halmashauri ya Chalinze alipofanya nao Kazi kwa miaka sita akiwa na cheo Cha Mkuu wa Idara ya elimu Msingi.

Mkutano huo wa baraza umekamilika kwa Siku ya kwanza ambapo miongoni kwa ajenda zake ni pamoja na uwasilishaji wa taarifa za utekelezaji za kata kwa kipindi cha Aprili hadi Juni 2021.


Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhandisi Richard Ruyango akizungumza wakati wa Mkutano wa  Baraza la Madiwani.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mhe.Jeremia Kishili akizungumza wakati wa Mkutano .

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mwl.Zainabu Makwinya akizungumza katika Mkutano wa Baraza la Madiwani.

Waheshimiwa Madiwani wakati wa Mkutano.

Waheshimiwa Madiwani wakati wa Mkutano.

Waheshimiwa Madiwani wakati wa Mkutano.

Waheshimiwa Madiwani wakati wa Mkutano.

Waheshimiwa Madiwani wakati wa Mkutano.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa