• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

DED MERU AAHIDI KUTATUA CHANGAMOTO YA MIUNDOMBINU SHULE YA MSINGI KISIMIRI JUU, MOJAWAPO YA SHULE ZA PEMBEZONI .

Imewekwa: August 30th, 2018

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru, Emmanuel Mkongo amewaagiza wakuu wa  idara ya  Elimu Sekondari na Msingi kuzipa kipaombele shule za pembezoni zenye mazingira magumu  katika mgao wa fedha za  lipa kwa matokeo (P4R) zinazotoka Serikali kuu  .

Mkurugenzi Mkongo ametoa agizo hilo alipotembelea shule ya Msingi Kisimiri juu  ambayo ni miongoni mwa shule za pembezoni katika Halmashauri ya Meru na kubaini changamoto za madarasa, nyumba za Walimu ,vyoo na barabara .

Aidha Mkongo ameahidi kuzifanyia kazi changamoto hizo  kulingana na  bajeti ya Halmashauri kwani shule nyingi zinachangamoto ya miondombinu.

Mkongo Ameongeza kuwa Serikali  imelipa kipaombele swala la Elimu kwa kutoa elimu bila malipo ambapo wanafunzi wengi haswa wanaotoka katika familia za wanyonge wamenufaika.

Naye Ofisa Elimu Msingi kwenye Halmashauri hiyo, Mwl.Sara Kibwana amepokea agizo la Mkurugenzi na kutoa rai kwa jamii  na wadau wa Elimu kuanzisha ujenzi wa miundombinu ya Elimu mashuleni jambo litakalo harakisha ukamilishaji "Serikali imekua ikitoa fedha za P4R  kwaajili ya kukamilisha miradi iliyoanzishwa na jamii " ameongeza Mwl.Kibwana.

Nao Walimu wa Shule ya Msingi Kisimiri juu wamempongeza Mkurugenzi Mkongo kutembelea Shule hiyo wakidai ni ugeni mkubwa ambao hawakuwahi kuupata kwa muda mrefu hivyi wanapata hamasa ya kutekeleza majukumu yao.

Shule ya Kusimiri juu inajumla ya Wanafunzi 544 na Walimu 11

Ikumbukwe kuwa Serikali ya awamu ya tano imekua ikiwaelekeza watendaji wake kutokukaa maofisini balu kuiendea jamii  na kutatua changamoto zinazowakabili.

Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru, Emmanuel Mkongo akisaini kitabu cha wageni Shule ya Msingi Kisimiri Juu.


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE SEMINA YA MAFUNZO YA UCHAGUZI MKUU 2025 October 16, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • DED MERU DC AKABIDHI VYETI KWA TAASISI ZINAZO FANYA VIZURI MERU DC

    August 07, 2025
  • TFS YATOA MSAADA WA MBAO TAKRIBANI MIA 8 HOSPITALI YA WILAYA YA MERU

    August 07, 2025
  • MERU DC YAIBUKA MSHINDI WA PILI MAONYESHO YA NANENANE KANDA YA KASKAZINI

    August 08, 2025
  • UZINDUZI WA JENGO LA TEHAMA SHULE YA SEKONDARI PATANDI MAALUM

    August 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa