• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

DED MERU ATOA ELIMU YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KATIKA MARATHONI YA NELSON MANDELA

Imewekwa: September 22nd, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mwl. Zainabu J. Makwinya ameshiriki Mbio zilizoandaliwa na Taasisi ya Sayansi ya Nelson Mandela ( NM-AIST). Mbio zilizokuwa na lengo la kuhamasisha ushiriki wa watoto wa kike  katika  masomo ya Sayansi ngazi ya Shahada ya Uzamili na Shahada ya Uzamivu ili kuongeza idadi kubwa ya wanawake waliobobea katika masuala ya Sayansi.

Aidha Mkurugenzi Mtendaji katika Mbio hizo amehimiza suala  la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika tarehe 27 Novemba 2024 na kuwataka washiriki kufikisha ujumbe huo kwa familia, ndugu jamaa na marafiki ili Watanzania wote wapate Elimu hiyo.

Kupitia Nelson Mandela Marathon Msimamizi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru na Mkurugenzi Wa Halmashauri Mwl.Zainabu J.Makwinya amepata fursa ya kutoa elimu ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika tarehe 27.11.2024 nchi nzima ukitanguliwa na zoezi la uandikishaji wa wapiga kura katika ofisi za vitongoji kuanzia tarehe 11.10.2024 hadi tarehe 20.10.2024.

Kufuatia elimu hiyo, washiriki wa marathon wameonesha uelewa wao walioupata kupitia elimu hiyo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kutoa wito kwa Wananchi wote kujitokeza kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura siku ya tarehe 27 Novemba 2024.
Akisema hayo mara baada ya marathon, Mhadhiri wa Taasisi ya Nelson Mandela (NM-AIST) Prof.Michael Kisangiri ameshukuru kupata elimu hiyo na kutoa wito kwa wananchi kujitokeza kuchagua viongozi wa ngazi ya chini kabisa wanaozijua vizuri changamoto zinazowakabili wananchi katika maeneo yao zikiwemo changamoto za barabara, maji, elimu na afya. Naye Prof. Revocatus Machunda pamoja na Bi.Juliana Shikosh ambao wote ni washiriki wa mbio hizi na Wahadhiri katika Taasisi ya Nelson Mandela wameshukuru kupata elimu ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Movemba 27 na kutoa wito kwa watanzania wote kutumia fursa iliyotolewa na Serikali ya kujiandikisha tarehe 11-20 Oktoba  na kupiga kura ifikapo tarehe 27 Novemba katika vituo vilivyotangazwa na Serikali.


" Serikali za Mitaa , sauti ya wananchi, jitokeze kushiriki uchaguzi"

fungua hapa kupata video,☝️

fungua hapa kupata video,☝️

fungua hapa kupata video,☝️

fungua hapa kupata video,☝️


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa