• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

DIB YATANGAZA NEEMA KWA WANANCHI MUFILISI WA BENKI YA WANANCHI MERU ( MERU COMMUNITY BANK).

Imewekwa: March 29th, 2024


Bodi ya Bima ya Amana (Deposit Insurance Board) DIP imetoa mafunzo ya bima ya amana na ufilisi kwa Watendaji wa Vijiji, Wataalam na Wadau mbalimbali katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru.

Meneja uendeshaji wa bodi ya bima ya Amana  Nkanwa Magina amesema kuwa bodi hiyo imeamua kuendesha mafunzo hayo Ili kuwezesha wananchi kuelewa majukumu ya bodi hiyo ambayo ni kinga ya amana za wateja kwenye benki na taasisi za kibenki ambayo inawasaidia kuweza kupata fedha zao pindi taasisi hizo zinapokuwa mufilisi.

Aidha, Magina amesema kuwa kwa Halmashauri ya Wilaya ya Meru mafunzo yatatolewa katika Kata ya Akheri eneo la Tengeru, Leganga, Usariver pamoja na Kikatiti kwa lengo la kuwapata wananchi na wafanyabiashara wengi ambao walikuwa na amana zao katika Benki ya Wananchi  Meru au "Meru Community Bank".

Mafunzo hayo yametolewa na Mkuu wa Idara ya Utawala  Joyce Shala na Mhasibu Mwandamizi Silvani Makole kutoka DIB. ambapo kwa nyakati tofauti wametoa ufafanuzi kuhusu mamlaka ya bima za amana, malengo ya mfumo wa bodi ya amana, amana ambazo hazifidiwi na bima ya amana, ulipaji wa mikopo, uuzaji wa mali za benki.

Aidha, Meneja huyo amewataka Watendaji wa Vijiji kufikisha elimu  hiyo kwa wale wote ambao waliokuwa na Amana katika benki iliyokuwa ya Wananchi Meru kwenda kuchukua amana zao katika Benki ya Posta (TPB).

Bodi hiyo mbali na kutoa elimu hiyo kwa wananchi wa Meru lakini  ina mikakati ya kuendelea kutoa elimu kwa maeneo mengine ambayo baadhi ya benki zao zilikuwa mufilisi ili kuwawezesha kutambua kuwa taasisi  za kifedha au benki zinazofungwa akiba zao  bado zitakuwepo.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa