• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

DKT. DUGANGE AFANYA ZIARA MERU, AAGIZA KUKAMILISHWA KWA JENGO HUDUMA ZA DHARURA, HOSPITALI YA WILAYA MERU

Imewekwa: March 10th, 2023

Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange ameipongeza halmashauri ya wilaya Meru kwa kusimamia kikamilifu ujenzi wa jengo la huduma za dharura (EMD) katika hospitali ya wilaya ya Meru mkoani Arusha.

Ametoa pongezi hiyo leo tarehe 10 Machi 2023 baada ya kuridhishwa na ujenzi wa jengo hilo uliogharimu shilingi milioni 300.

Dkt. Dugange ameagiza Halmashauri kukamilisha ujenzi wa jengo hilo ambao upo katika hatua za ukamilishaji na kuhakikisha ifikapo tarehe 20 Aprili 2023 huduma zote zianze kutolewa kikamailifu kwa wananchi.

Amesema kazi zilibaki katika jengo hilo ni pamoja na kufunga mfumo wa gesi ya oxygen, mfumo wa TEHAMA, mfumo wa kiyoyozi na kuweka kingo kwenye ngazi.

Aidha, Dkt. Dugange amesema tayari Serikali imetumia shilingi milioni 438 kununua vifaa tiba vilivyofungwa katika jengo hilo ikiwa ni pamoja na mashine ya kidigital ya X- Ray.

Dkt. Dugange ameiagiza halmashauri kuweka mpango kazi wa haraka wa kukamilisha miradi yote ambayo haijakamilika ili ianze kutoa huduma kwa wananchi.

Kwa Upande wake, Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Dkt. Danielson Pallangyo amemshukuru Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwezesha ujenzi wa jengo hilo la huduma za dharura.

Dkt. Pallangyo ameiomba Serikali kutenga fedha za kukarabati hospitali ya Wilaya Meru ambayo ni kongwe na baadhi ya majengo yamenza kuchakaaa.

Aidha Katika ziara hiyo Mhe.Naibu Waziri alitembelea na kukagua miradi ya ujenzi wa Kituo cha Afya Mareu, Ujenzi wa Zahanati ya Msitu wa Mbogo na Ujenzi wa Jengo la huduma za dharura( EMD) katika Hospitali ya Wilaya ya Meru (TENGERU)




Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa