• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WAZIRI JAFO ARIDHISHWA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA ARUMERU

Imewekwa: January 18th, 2022

Waziri wa Nchi , Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na utunzaji wa Mazingira) Mhe. Dkt. Seleman Jafo ameipongeza Wilaya ya Arumeru  kwa utunzaji wa Mazingira hususani vyanzo vya maji ambapo ameelekeza Halmashauri za Wilaya hiyo kutenga bajeti zitakazo akisi uhalisia wa utunzaji wa Mazingira.

Mhe.Dkt. Jafo amesema hayo alipotembelea chanzo cha Maji  Usa- Spring kilichopo ndani ya msitu  wa Nkoanekoli katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru  unaosifika kwa kuwa na mbega weupe  "niwapongeze Wananchi na Viongozi wa Arumeru kwa utamaduni wa kutunza vyanzo vya maji  "amesema Mhe.Dkt.Jafo

Aidha, Mhe.Jafo amesema kwa kutambua umuhimu wa utunzaji wa  Mazingira Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameelekeza utunzaji wa mazingira kuwa Agenda ya kudumu " hatuna mbadala wa Suala la  utunzaji wa mazingira, tumeanza kushuhudia athari  za mabadiliko ya tabia ya nchi, hapa Arusha tunaona kiwango Cha joto kimeongeka ,Pia kwa Mkoa wa Dar es Salaam upatikanaji wa Maji kwa matumizi ya binadamu umepungua, niwasihi tutunze vyanzo hivi" Amehimiza Mhe.Dkt. Jafo

Katika  Ziara hiyo  ya Mhe.Waziri Dkt. Jafo amekagua uhifadhi wa chanzo Cha Maji Usa- Spring ,ametembelea Kitalu cha Mti cha Halmashauri ya Wilaya ya Meru pamoja na kupanda mti eneo la Midawe Halmashauri ya Arusha.

Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na utunzaji wa Mazingira) Mhe. Dkt. Seleman Jafo akizungumza wakati wa ziara  katika Wilaya ya Arumeru (kulia )Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhandisi Richard Ruyango.

Ziara ya Mhe.Jafo kukagua chanzo Cha Maji Usa- Spring.

Mtiririko wa Maji katika msitu wa Nkoanekoli kilipo chanzo chanzo cha  Maji Usa- Spring

Afisa Maliasili Ndg.Charles Mungure akitoa maelezo kwa Mhe. Waziri Jafo alipotembelea Kitalu cha mti cha Halmashauri ya Wilaya ya Meru.

Miche ya Miti katika Kitalu cha  Miche Cha Halmashauri ya Wilaya ya Meru.

Miche ya Miti katika Kitalu Cha Halmashauri ya Wilaya ya Meru.

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Bangata wameshiri katika zoezi la upandaji miti eneo la Midawe wakati wa ziara ya Mhe Waziri Jafo katika Wilaya ya Arumeru.

Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na utunzaji wa Mazingira) Mhe. Dkt. Seleman Jafo akipanda mti katika eneo la Midawe Wilayani Arumeru.

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Bangata wameshiri katika zoezi la upandaji miti eneo la Midawe wakati wa ziara ya Mhe Waziri Jafo katika Wilaya ya Arumeru.

anafunzi wa Shule ya Sekondari Bangata wameshiri katika zoezi la upandaji miti eneo la Midawe wakati wa ziara ya Mhe Waziri Jafo katika Wilaya ya Arumeru.


Waziri wa Nchi ,Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na utunzaji wa Mazingira) Mhe. Dkt. Seleman Jafo wakati akisalimiana na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Bangata Wilaya Arumeru amesema ni wakati wa kila  Mwanafunzi kupanda na kutunza mti.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa