• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

HALMASHAURI YA MERU KUZAWADIWA GARI AINA NISSAN PATROL NA PIKIPIKI TAREHE 07/12/2017 BAADA YA KUWA MSHINDI WA KWANZA KWENYE KAMPENI YA KITAIFA YA USAFI WA MAZINGIRA

Imewekwa: December 5th, 2017

Halmashauri ya Meru kwa kipindi cha miaka 12 kuanzia( mwaka 2005 hadi 2016  ) ina historia ya kuwa kinara kwenye mashindano ya Kampeni ya Kitaifa ya Usafi wa mazingira inayohusu ujenzi na matumizi ya Vyoo bora  na unawaji wa mikono  kwa maji tiririka na sabuni.

Historia hii nzurii imetokana na kushika nafasi (tatu bora)mara kwa mara ikipata ushindi kwa nafasi ya kwanza mara 5,nafasi ya pili mara 2 na nafasi ya tatu mara 2  hivyo kupata zawadi mbalimbali ambazo ni Vikombe  6 vya Ushindi ,vyeti vya pongezi pamoja na vifaa ambavyo ni Scanner,Computer Desk Top na Piki piki 2.

Kwa mwaka huu 2017 katika kampeni hizi Halmashauri ya Meru imeongoza kwa asilimia 96 kwa kua mshindi wa kwanza Kitaifa kati ya Halmashauri  185 Tanzania bara  zilizoshindanishwa kwenye mashindano haya  ya Kampeni ya Kitaifa ya Afya na Usafi wa mazingira  yanayohusisha matumizi ya vyoo bora  na unawaji wa mikono.

Aidha  katika kutekeleza kampeni hiyo kwa upande wa Kijiji bora na Mtaa kwa usafi kiijiji cha Nambala Kilichopo Kata ya Kikwe Kwenye Halmashauri hii ya Meru kilishika nafasi ya pili kwa kupata asilimia 95.3 huku kijiji cha Kanikale Halmashauri ya Njombe kiishika nafasi ya kwanza kwa kupata asilimia 95.8

Kua Mshindi wa kwanza mwaka huu 2017 Halmashauri ya Meru inatarajia Kukabithiwa zawadi ya Gari aina ya (NISSAN PATROL ) na Pikipiki moja toka Wizara ya( Afya,Maendeleo ya Jamii ,jinsia,wazee  na watoo )na pikipiki  tarehe 07 Disemba 2017 ,tukio hili litafanyikia Dodoma .

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa