• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

UZINDUZI WA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA ARUMERU

Imewekwa: July 26th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Emmanuela Kaganda amezindua rasmi mafunzo ya Jeshi la Akiba likiwa na jumla ya vijana 128.

Uzinduzi huo umefanyika tarehe 26.07.2023 Viwanja vya Relini Kata ya Usa-river katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru, ambapo Mhe. Kaganda amewapongeza Vijana hao Kwa kuonyesha uzalendo na kujiunga na mafunzo ya Jeshi la Akiba.

" Ninawapongeza sana kwa uzalendo mliouonyesha kwa kujiunda na mafunzo ya Jeshi la Akiba ,hakika ninyi ni vijana wazalendo na wenye kuipenda Nchi yetu ya Tanzania, ninategemea mnavyoanza mafunzo haya ndivyo mtakavyomaliza msikate tamaa na kuishia njiani ili siku mkimaliza mafunzo yenu tuwashangilie Kwa ukomavu wenu" alisema Mhe. Kaganda.

Aidha, Mkuu huyo amempongeza Binti aliyemaliza digrii ya kwanza ya Ualimu na kuamua kujiunga na Jeshi la Akiba kwani Kwa kufanya hivyo ameonyesha uzalendo mkubwa katika jamii yake na kwa taifa kwa ujumla.

" Vijana walio wengi wanaomaliza Vyuo vikuu wamekuwa na dhana potofu katika masuala la kizalendo kama alivyofanya Binti huyu, hakika amekuwa mfano wa kuigwa na vijana wengine kwani Nchi inahitaji mashujaa wa kuendelea kulinda Uhuru wa Nchi. " Alisema Kaganda.

Hata hivyo, Mkuu wa Wilaya ya Arumeru amesema mafunzo haya yanafanyika Kwa mujibu wa sheria ya Usalama wa Nchi ( National Defence Act) No . 24 ya mwaka 1966.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa