• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

HAFLA YA UTOAJI MOTISHA KWA WALIMU

Imewekwa: November 12th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru,Mhandisi, Richard Ruyango amewataka walimu wa wilaya hiyo  kufundisha zaidi wanafunzi sambamba na kuwajenga nidhamu ili waweze kuongeza ufaulu

Mhandisi Ruyango amesema hayo wakati wa hafla ya utoaji motisha chanya na hasi kwa matokeo ya mitihani ya Taifa ikiwemo utoaji wa sanamu za vinyago katika shule zilizofanya vibaya

Akizungumza na walimu hao jana katika halfa ya utoaji wa motisha kwa walimu na shule za  Ruyango alisema kuwa endapo walimu hao wakifundisha vema ufaulu wa watoto ikiwemo nidhamu vitakuwepo

Pia. Amesisitiza  fedha zilizotolewa na Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan za ujenzi wa madarasa zitumiwe vema ili kuondoa changamoto ya ukosefu wa vyumba vya madarasa katika wilaya ya Meru

Naye Afisa Elimu Sekondari Wilaya ya Meru,Emmy Mfuru amewapongeza walimu hao kwa ufaulu mzuri ikiwemo kushika nafasi mbalimbali kimkoa na kitaifa ikiongozwa na shule ya sekondari ya Kisimiri

Mfuru amesema  Halmashauri ya wilaya ya Meru inajumla ya shule za sekondari 66 kati ya hizo shule 37 ni za serikali na shule 29 ni zisizo za serikali ambapo idadi ya  wanafunzi 24,186 huku wavulana wakiwa ni 11,576 na wasichana ni 12,607 kwa ujumla .

Vilevile Mfuru ameeleza kuwa wameamua kutoa motisha ya vinyago kwa shule ambazo zimefanya vibaya  kuwapa hamasa ya kuongeza ufaulu zaidi na kusisitiza zawadi hizo zitakuwa za mzuunguuko

Hafla hiyo imeenda sanjari na ugawaji wa fedha kwa walimu wa  masomo ambayo  wanafunzi wamefaulu, Pia na kutoa mchele  kilo 25 kwa shule binafsi na za serikali zilizofalisha vema na zawadi ya makombe ya ushindi kwa shule zikizofaulisha

Baadhi ya walimu hao akiwemo,Staraton Shao kutoka shule ya sekondari Ngabobo na Hilda Mally walishukuru kwa zawadi hizo sanjari na kuahidi kutoa ushirikiano kwa wanafunzi ikiwemo ongezeko la ufaulu ili kuondoa aibu kwa baadhi ya shule zilizoambulia vinyago .


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa