• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

HAKIKISHENI KILA SHULE INAUNDA KLABU YA LISHE - DC MKALIPA.

Imewekwa: October 25th, 2024

Leo tarehe 25 Oktoba, 2024 Halmashauri ya Wilaya ya Meru imefanya kikao cha Tathmini ya Lishe Wilaya kujadili taarifa za robo ya kwanza kwa mwezi Julai hadi Septemba 2024.

Mwenyekiti wa Kikao Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Amir Mkalipa ametoa maelekezo kwa Watendaji wa Kata kuhakikisha shule zote zinaunda Klabu za Lishe ikiwa ni pamoja na kuwataka Watendaji hao kuhakikisha Mhe. Mkuu wa Wilaya anaalikwa kwenye Mikutano ya wananchi kwenye Kata ambazo zinachangamoto ya kuchangia chakula shuleni ili aweze kuzungumza na wazazi.

"Nataka Shule zote katika Wilaya ya Meru ziwe na Klabu za lishe ili elimu hii iweze kuwafikia kwa karibu, lakini hakikisheni mnanialika kwenye mikutano ya wananchi inapofanyika kwenye maeneo yenu ili niweze kuzungumza na wazazi ambao hawachangii chakula shuleni. " amesema Mkalipa.

Afisa Lishe Wilaya Asia Ijumaa amewasilisha taarifa ya Utekelezaji ikionyesha hali ya Lishe Ngazi ya Vituo vya kutolea huduma za Afya ambapo kwa Halmashauri ya Meru yenye jumla ya watoto Chini ya miaka mitano 41,075 kwa Mujibu wa Sensa ya Mwaka 2022, watoto 40,884 sawa na asilimia 99.5 wamepimwa hali ya Lishe kwa kutumia kiashiria cha Uzitou na Umri.

Aidha, ametoa pongezi kwa Watendaji wa Kata kwa kazi nzuri wanazofanya kwani wameendelea kutoa elimu ya Lishe katika maeneo mbalimbali , pia  wameweza kuwafika wananchi zaidi ya 17,728 kwa wiki ya unyonyeshaji Duniani.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE SEMINA YA MAFUNZO YA UCHAGUZI MKUU 2025 October 16, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • DED MERU DC AKABIDHI VYETI KWA TAASISI ZINAZO FANYA VIZURI MERU DC

    August 07, 2025
  • TFS YATOA MSAADA WA MBAO TAKRIBANI MIA 8 HOSPITALI YA WILAYA YA MERU

    August 07, 2025
  • MERU DC YAIBUKA MSHINDI WA PILI MAONYESHO YA NANENANE KANDA YA KASKAZINI

    August 08, 2025
  • UZINDUZI WA JENGO LA TEHAMA SHULE YA SEKONDARI PATANDI MAALUM

    August 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa