• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

HAKIKISHENI SHULE ZOTE ZINAKUWA NA BUSTANI ZA MBOGA MBOGA - KAGANDA

Imewekwa: February 9th, 2024


Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Emmanuela Mtatifikolo Kaganda ametoa maelekezo kwa Wakuu Wa Divisheni ya Elimu ya awali Msingi na Elimu Sekondari Halmashauri ya Meru, kuhakikisha shule zote zinakuwa na Bustani za mbogamboga.

Mhe. Kaganda ametoa maelekezo hayo katika kikao cha Tathmini ya Lishe Wilaya cha kujadili taarifa ya Lishe kwa kipindi cha mwezi Oktoba hadi Disemba 2023.

" Afisa Elimu Msingi na Sekondari hakikisheni shule zote wanatengeneza bustani za mbogamboga na shule zenye maeneo makubwa wahamasishwe kufanya kilimo cha mazao kama Mahindi na Maharage". Alisema Kaganda.

Aidha, Afisa Lishe Wilaya Bi. Rehema Lema alieleza kuwa, katika kipindi cha mwaka wa fedha 2023/2024 Halmashauri katika bajeti yake iliidhinisha kiasi cha shilingi 57,459,500.00 kutoka Mapato ya Ndani na Fedha hizo zilitengwa kwa ajili ya kutekeleza shughuli za Lishe ikiwa ni utekelezaji wa kutenga shilingi 1000 kwa kila mtoto aliye na umri wa chini ya miaka mitano.

Hata Hivyo, Mhe. Kaganda ametoa Maelekezo kwa Mratibu wa Lishe Wilaya kuhakikisha Mafunzo ya Afua za lishe yanatolewa kwa Watendaji wa Kata wote ili waweze kusimamia utekelezaji wa Mkataba wa Afua za Lishe.

Vilevile, Kamanda wa Polisi Wilaya SSP. Joseph Mtenga alishauri kuwa Shule ambazo Wazazi hawachangii chakula wapewe Elimu na tujifunze kutoka kwenye Shule zinazotoa chakula ili nao wachangie chakula.


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa