• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

HALMASHAURI YA MERU YAONGOZA KWENYE MKOA WA ARUSHA KATIKA MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI 2017

Imewekwa: January 11th, 2018

Halmashauri ya Meru wilaya ya Arumeru imeshika nafasi ya Tano kitaifa na ya kwanza kimkoa na kuzibwaga halmashauri zote sita za mkoa wa Arusha katika matokeo ya kidato cha pili yaliyotoka mapema wiki hii.

Akizungumza na mwandishi wetu Afisa Elimu Sekondari Halmashauri ya Meru mwalimu Damari Mchome amesema kuwa Halmashauri ya Meru imeshika nafasi ya Tano kati ya halmashauri 175 za Tanzania bara na kuifanya halmashauri hiyo kushika nafasi ya kwanza kimkoa.

Afisa Elimu Mchome ameongeza kuwa kati ya wanafunzi 5,096 waliofanya mtihani wa kidato cha pili mwa 2017 wanafunzi 1,278 wamepata daraja la kwanza, 760 daraja la pili, 874 daraja la tatu na 1,902 daraja la nne kuifanya alama ya ufaulu ya GPA ya 3.185

Akielezea siri ya ufaulu huo Mchome amesema kuwa halmashauri ina walimu wa kutosha kwenye masom ya sanaa pamoja na sera ya elimu bila malipo inayosababisha wanafunzi kuhudhuria masomo bila usumbufu wa kudaiwa "Baada ya serikali kutoa elimu bila malipo wanafunzi wamekuwa wakihudhuria darasani bila kukosa tofauti na hapo awali walipokuwa wanakosa masomo kwa kushindwa kulipa ada na michango mingine jambo lililochangia ufaulu kwa wanafunzi hao" amefafanua Afisa Elimu

Hata hivyo Halmashauri imepokea jumla ya wanafunzi 5,404 wa kidato cha kwanza mwaka 2018 wavulana 2,540 na wasichana 2,862 kwenye shule 29 za serikali.

Afisa Elimu taaluma Abernego Mlokozi amesema kuwa wanafunzi hao 5,404 wamegawanywa kwenye mikondo 92 na tayari wanafunzi hao wameanza mafunzo ya awali ikiwemo matumizi ya lugha ya Kiingereza yatakayofanyika kwa wiki nane kwa lengo la kuwajengea msingi wa lugha hiyo itakayotumika kufundishia masomo yote kasoro somo la Kiswahili.

Mulokozi ameongeza kuwa halmashauri imepokea vitabu vya kufundishia mafunzo hayo ya awali kwa uwino wa kitabu kimoja kwa mwanafunzi

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa