• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

JITOKEZENI KUCHANGUA VIONGOZI BORA WA SERIKALI ZA MITAA - NURDIN BABU.

Imewekwa: August 3rd, 2024

Na. Annamaria Makweba.

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Nurdin Babu amewataka wananchi wote kuchagua viongozi bora katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Oktoba, 2024.

Mhe. Babu ambaye ni Mgeni Rasmi katika ufungunzi wa Maonyesho ya Nanenane ya Kanda ya Kaskazini inayounda Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara amewataka wananchi kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uchaguzi na kuchagua viongozi bora ili waweze kuwaongoza vyema.


Aidha, Mhe. Babu ameeleza kuwa Uchaguzi utakuwa huru na haki na kuzingatia taratibu za kiusalama katika maeneo yote yatakayofanyika uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Hata hivyo, Mhe. Mgeni rasmi katika hotuba yake ameeleza kuwa, kwa kipindi cha mwaka wa Fedha 2023/2024 Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeweka nguvu kubwa katika kuboresha Kilimo, Mifugo na Uvuvi na kwa Kanda ya Kaskazini imenufaika katika utoaji wa mbolea ya Ruzuku kwa ajili ya kuongeza tija kwenye kilimo ambapo jumla ya Tani 61,400 zimetolewa kwa wakulima wa mikoa 3 ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara yenye thamani ya sh. Bilioni 85.96.

Pia, kwa upande wa uboreshaji wa Miundombinu ya Umwagiliaji Mhe. Babu ameeleza kuwa Serikali imeweza kujenga na kukarabati mifereji na mabwawa yenye thamani ya shilingi Bilioni 62.4 . Ambapo kwa Mkoa wa Manyara Bilioni 15.6, Arusha Bilioni 38.4 na Kilimanjaro Bilioni 8.4.

Vilevile, kwa upande wa Mifugo ameeleza kuwa jumla ya Ng'ombe 44,970 wamehimilishwa kwa mbegu bora za kisasa.

Ameeleza kuwa, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anafanya yote haya ili kila Mtanzania anayeweza kufanya kazi afanye katika maeneo hayo ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi.


Mhe. Babu amewataka wananchi wote kutembelea mabanda na kupata elimu itakayowasaidia kufanya shughuli zao za kilimo, Mifugo na Uvuvi ili kuongeza uzalishaji.

fungua hapa kupata video,☝️


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa