• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

IMBASENI NA ELIMU KWANZA,

Imewekwa: July 16th, 2021

Uongozi wa  Kijiji cha Imbaseni waiomba  Serikali kusajili Shule ya Sekondari iliyoanzishwa na Wananchi wa Kijiji hicho ambapo wamejenga vyumba Vinne vya Madarasa vilivyofikia hatua ya lenta.

Uongozi huo imetoa ombi hilo wakati WA hafla ya uzinduzi wa madawati 40,Meza mbili na Viti katika Shule ya Msingi Imbaseni,ambapo Mhe.Jeremia Kishili Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru amezindua madawati hayo na kupongeza jitihada  hizo za Uongozi wa kijiji kutumia rasimali miti iliyopandwa eneo la Shule  kutengeneza madawati na kuhimizwa kuendelea kupanda miti.


Aidha, Mhe.Kishili amesema Halmashauri itaungamkono ujenzi Wa vyumba Vinne vya Madarasa vya Shule ya Sekondari ambavyo vimejengwa na Wananchi kufikia hatua ya lenta.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Ndg.Emmanuel Mkongo ametoa wito kwa Viongozi wa vijiji vingine kuiga mfano wa kutumia rasilimali zilizopo kutatua changamoto  na kuharakisha Maendeleo katika maeneo hayo.

Mkongo amepongeza Uongozi wa Kijiji Cha Imbaseni kulipa kipaombele Swala la Elimu ambapo mbali na kutatua changamoto katika Shule ya Msingi wameanzisha ujenzi Wa Shule ya Sekondari.

Mkongo  amesema ujenzi Wa vyumba Vinne vya Madarasa ni miongoni mwa miundo mbinu muhimu hivyo ameshauri Uongozi huo kukamilisha miundombinu  mwingine kama vile  Maabara,vyoo na Ofisi ya walimu

Mhe.Jeremia Kishili Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru akizindua madawati katika Shule ya Msingi Imbaseni.


Madawati mapya yaliyotengenezwa na Uongozi wa Kijiji Cha Imbaseni.

Ujenzi Wa Vyumba Vinne vya Madarasa katika Shule mpya ya Sekondari kijiji Cha Imbaseni ambapo Uongozi wa kijiji hicho umeiomba Serikali kuisajili.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa