• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Kamati ya Mpango Mkakati wa kupambana na kutokomeza ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto yatakiwa kuwa balozi

Imewekwa: July 30th, 2022

Kamati ya Mpango Mkakati wa kupambana na kutokomeza ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto Halmashauri ya Wilaya ya Meru (MTAKUWWA), imetakiwa kuwa balozi wa kutoa elimu ya kutokomeza ukatili kwa wanawake na watoto kwa  kutekeleza vyema mkakati wa kutokomeza ukatili wa kijinsia kwani kumekuwa na matukio mengi ya ukatili wa kijinsia katika jamii.


Rai hiyo imetolewa na Mhe.Felister Nanyaro, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru wakati akifungua Mafunzo ya siku tatu kwa wajumbe wa Kamati ya mpango Mkakati wa kupambana na kutokomeza ukatili kwa wanawake na watoto (MTAKUWWA ) ngazi ya Wilaya.


Aidha mafunzo hayo yataendelea kwa siku tatu  katika ukumbi wa Halmashauri  ambapo wajumbe wa MTAKUWWA ngazi ya Wilaya toka makundi mbalimbali wakiwemo viongozi wa dini pamoja na wataalam mbalimbali wameshiriki.


Mafunzo hayo yamefsndiliwa na Shirika la SOS TANZANIA

https://www.instagram.com/p/CgRQPKUND_K/?igshid=MDJmNzVkMjY=

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI ANWANI ZA MAKAZI April 02, 2022
  • waliochaguliwa kwenye usaili wa tarehe 5 Aprili 2022 April 07, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA NAFASI YA KAZI KATIBU MAHSUSI DARAJA 111 May 26, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • WITO WATOLEWA KWA VIONGOZI WA DINI, MILA WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI KUHAMASISHA ZOEZI LA SENSA

    August 15, 2022
  • MERU, UKANDAMIZAJI NA UTAPELI VIJANA KWA KISINGIZIO CHA FURSA WAPIGWA MARUFUKU

    August 26, 2022
  • BONANZA LA VIJANA MERU LAFANA

    August 11, 2022
  • ZIARA YA KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO

    August 11, 2022
  • Tazama Vyote

Video

Salamu za sikukuu ya Krismasi na Mwaka mpya 2021.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa