• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

KASI YA UJENZI WA MADARASA 70 SHULE ZA ZA SEKONDARI

Imewekwa: November 28th, 2021

Wakuu wa Shule za Sekondari zinazotekeleza miradi ya vyumba vya Madarasa 70 katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru wameushukuru Uongozi wa Halmashauri kwa kurahisisha upatikanaji wa vifaa vya ujenzi ikiwemo Saruji,  mbao na bati " vifaa hivi vimeharakisha utekelezaji wa miradi hii ikizingatiwa  ni mingi na uhitaji ni mkubwa" amesema Mwl.Hasan Rajabu Mkuu wa Shule ya Momela

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Mwl.Zainabu Makwinya  amesema Halmashauri hiyo imeweka mikakati ya kuhakikisha vyumba hivyo 70 vya madarasa vinakamilika kwa wakati ambapo baada ya kutoa Saruji na miradi mingi kufikia hatua ya ufungaji Lenta na upauzi , tayari  mbao za upauzi wa Miradi hiyo zimewasili, na bati zilishapatikana.

Mwl.Makwinya ametoa wito kwa Wakuu wa Shule, wataalam pamoja na Viongozi wa maeneo miradi inapotekelezwa, kuendelea  kushirikiana ili miradi hiyo kukamilika kwa wakati na kuwa na tija iliyokusudiwa na Serekali ya awamu ya Sita inayo ongozwa na  Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan.

Ikumbukwe,Serikali ya awamu ya Sita ilitoa Shilingi Bilioni 1.4 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba 70 vya Madarasa katika shule za Sekondari katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru , fedha hizi ni za mkopo wa riba nafuu kutoka shirika la fedha Duniani,ikiwa ni Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya UVIKO -19.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mwl. Zainabu Makwinya alipokuwa akitoa maagizo juu ya utekelezaji wa miradi ya vyumba 70 vya Madarasa, mara baada ya Halmashauri kuhakikisha uwepo wa Saruji.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru baada ya kuhakikisha  vifaa/bati zinapatikana, zoezi la ugawaji bati  kwaajili ya utekelezaji wa miradi ya vyumba 70 vya Madarasa katika shule za Sekondari lilifanyika.

Mbao zitakazotumika kwenye ujenzi  miradi ya vyumba vya Madarasa 70 katika Shule za Sekondari  zikiwa zimewasili katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru.


Saruji ilipowasili.

Maendeleoya ujenzi wa vyumba viwili (2) vya madarasa Shule ya Sekondari  Lakitatu 

Maendeleoya ujenzi wa vyumba viwili (2) vya madarasa Shule ya Sekondari  Nshupu



Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI ANWANI ZA MAKAZI April 02, 2022
  • waliochaguliwa kwenye usaili wa tarehe 5 Aprili 2022 April 07, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA NAFASI YA KAZI KATIBU MAHSUSI DARAJA 111 May 26, 2022
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • WITO WATOLEWA KWA VIONGOZI WA DINI, MILA WENYEVITI WA VIJIJI NA VITONGOJI KUHAMASISHA ZOEZI LA SENSA

    August 15, 2022
  • MERU, UKANDAMIZAJI NA UTAPELI VIJANA KWA KISINGIZIO CHA FURSA WAPIGWA MARUFUKU

    August 26, 2022
  • BONANZA LA VIJANA MERU LAFANA

    August 11, 2022
  • ZIARA YA KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO

    August 11, 2022
  • Tazama Vyote

Video

Salamu za sikukuu ya Krismasi na Mwaka mpya 2021.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa