• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

KIKAO CHA TATHIMINI YA LISHE KUJADILI TAARIFA YA ROBO YA PILI OKTOBA-DISEMBA 2025

Imewekwa: February 8th, 2025

Katibu Tawala Wilaya ya Arumeru Joseph Mabiti mapema hii Leo tarehe 08 Februari 2025, amefungua kikao cha Tathimini ya Lishe ya Wilaya kujadili robo ya pili Oktoba hadi Desemba 2024 kilichofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Meru akimuwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Amir Mohamed Mkalipa .

Katika kikao hiko Mabiti Amewataka Watendaji wa Kata kuwasimamia Watendaji wa Vijiji katika kuhakikisha ulaji wa chakula kwa watoto mashuleni linasimamiwa kwa ufanisi Mkubwa ili kuleta Maendeleo kwa watoto walioko mashuleni na kuhakikisha wanapata lishe Bora.

Aidha, katika uwasilishaji wa Taarifa ya Tathimini ya lishe Kwa kipindi cha Oktoba hadi Disemba 2024 Kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 Afisa Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Meru Asia Juma Amesema kuwa Swala la lishe Kwa upande wa Meru liko katika kiwango cha juu Kwa asilimia 95.1 huku kiwango cha Chini cha Lishe kikiwa Ni asilimia 1.0 aidha amefafanua na kusema juhudi za kufanikisha swala la lishe kuwa Bora nikutokana na Elimu wanazotoa kupitia Nyanja mbalimbali na kwa ushirikiano wa idara mbalimbali ikiwemo idara ya Maendeleo ya Jamii.

Pia, katika kikao hicho Elimu juu ya umuhimu wa viini Lishe vilivyopo kwenye mboga, Viungo na Matunda imetolewa kupitia Mseminishaji Happy Saanya ambapo ametoa Elimu juu ya zao la Selery huku akionyesha umuhimu na Faida zitokanazo na zao hilo.



Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa